Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wakuu natumai mu wazima! Kuna wimbi la Be Forward kuleta magari mabovu ambayo yanasabibisha usumbufu mkubwa kwetu sisi wateja. Nimenunua Alphard- nikaambiwa imefanyiwa mpaka na Inspection, na...
28 Reactions
217 Replies
11K Views
Katika kuhakikisha Serikali inafikia malengo ya bajeti kama zinavyopitishwa waandishi wa habari nchini wamehaswa kutumia vyema uwezo na nafasi zao kitaaluma kuchochea ufikiwaji huo ili kuchochea...
2 Reactions
2 Replies
4 Views
Mbunge Mohamed; Rais Samia anabaguliwa kwa Uzanzibar wake amesema hayo leo Bungeni wakati akichangia bajeti ya Wizara ya Mambo ya ndani ya Nchi Huyu ndiye Mbunge ambaye aliwahi kusema watu...
1 Reactions
5 Replies
88 Views
Kwa wataalam wa bajeti na masuala ya uchumi, ni waziri gani wa fedha amewahi kukopa fedha nyingi kwa muda wa miaka mitatu ya uongozi wake kama Mwigulu Nchemba? Kukopa siyo tatizo, je mikopo hii...
2 Reactions
15 Replies
225 Views
Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
63 Reactions
375 Replies
9K Views
Hii 👇 ni tukio la Leo 📍Dar es Salaam Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwa katika picha ya pamojana Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. SaidiYakubu...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Kichwa cha uzi kinajieleza. Lakini Lissu hajawahi kujisifia popote kama aliahidiwa Cheo na Shujaa akakataa. Wote tunajua 2015 Freeman pamoja na mambo mengine aliahidiwa Uwaziri mkuu na yeye...
0 Reactions
3 Replies
227 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
30M Views
Kwenye kujitafuta bhana nikasema niombe Uwakala wa benk ya CRDB Sasa achana na Pesa ambayo nitaweka kwenye Account kwaajili ya kazi, naambiwa mashine yao inapatikana kwa Milioni 1 hadi nilishikwa...
2 Reactions
6 Replies
58 Views
Kwanini unchallenge mtu wa rais? Mnaoponda Waziri wa Rais maana yake hapo una mchallenge Rais na Rais hapingwi. Ukimdharau mtu pengine awe na madhaifu ndio tumpelekee Rais ili akae na watu wake...
0 Reactions
4 Replies
19 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,017
Posts
49,620,123
Back
Top Bottom