Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Tukutane wote wenye virusi vya ukimwi na kuelezana ulijisikiaje ulipoambiwa kuwa una upungufu wa kinga mwilini? Mimi nakumbuka ilikuwa 2020, mwezi wa 7 tarehe 17 nilipima katika hospitali moja ya...
65 Reactions
398 Replies
10K Views
Zitto Kabwe amewashangaa wale ambao wanahoji kuhusu Muungano hasa huku Bara akisema hawajui kitu kwani wanaotakiwa kuhoji ni Wazanzibar. Zitto ambae ni mtaalamu wa kujenga hoja Kwa takwimu...
9 Reactions
346 Replies
10K Views
Hii ni aina mpya ya uchawi na njia ya mkato ya kupata pesa bila kuzitolea jasho! Ni utajiri flani hivi ambao unapewa kibegi na mganga na popote unapoenda lazima ukibebe mgongoni. Ndani ya kibegi...
131 Reactions
425 Replies
53K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
30M Views
Sasa siwez hata ongea nikisema neno nalia.
22 Reactions
165 Replies
3K Views
Slovakia’s prime minister Robert Fico has been injured in a shooting and rushed to hospital. The incident took place in the town of Handlova, some 150 kilometres northeast of the capital...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Nielimisheni hii kitu sote tunajua tunaishi layer ya trotosphere 0-20 km na ndo kwenye hewa nzuri ya oxygen. Ndege za abiria zinakwenda stratosphere sasa ndege inatumia mfumo gani mpaka mnavuta...
2 Reactions
5 Replies
43 Views
  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
139 Reactions
156K Replies
8M Views
Kumbe Mzilankende Magufuli alikuwa hakunaliki Hadi kwao 😁😁😁 My Take: Chadema acheni kutoa Siri za Wakubwa 😂😂 https://www.instagram.com/p/C6_aF4rMSoP/?igsh=aTJ5dHlhc3ZkdWJs
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Msongo wa Mawazo (Stress) Ni hali ya shinikizo la kiakili au kihisia linalotokana na mahitaji yanayofikiriwa. Kila siku tunakabiliwa na hali nyingi ngumu ambazo unaweza kuona kama “vitisho” kwa...
5 Reactions
6 Replies
19 Views

FORUM STATS

Threads
1,854,025
Posts
49,620,371
Back
Top Bottom