Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe. 2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo...
18 Reactions
97 Replies
4K Views
Wakuu nauliza tu,,,, Ishu za muungano imekua moto kuliko ishu yoyote ile kuna nn?? Nini kinachochea hii movement!!
0 Reactions
10 Replies
33 Views
Ni takribani siku kadhaa sasa tangu internet nchini imekuwa na changamoto. Hadi sasa tunachofahamishwa ni kwamba kuna nyaya huko baharini zimeleta hitilafu, hilo ndilo kila mmoja nchini utasikia...
0 Reactions
9 Replies
116 Views
Wanajamvi, Nilitaka kujua kwanini utumishi hutumia takriban miez miwili kuita watu kazini baada ya kufanya Oral, kuna nini kinachoendelea?
42 Reactions
51K Replies
3M Views
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa. Swali ni Je Watatoboa?
8 Reactions
28 Replies
1K Views
“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo...
9 Reactions
49 Replies
561 Views
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pw mojan na mashirika mengine kama...
3 Reactions
119 Replies
2K Views
Wakuu kwema. Hili suala ni la kawaida likitokea mara moja ila likijirudia rudia tunapata wasiwasi. Imetokea kwa siku tano hadi leo navyotype kwamba nikipanda daladala konda haniombi nauli namimi...
1 Reactions
9 Replies
23 Views
Car4Sale ONSALE IST (EBE)
ON SALE (EBE)- Price 14.7ml KALI SANA Color 🖤 PEARL WHITE MWAKA 2005 LOW MILEAGES Engine 1290 Low mileage New tyre Clean sana 0768160670 EXCHANGE ALLOWED
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Habari wakuu, Naomba nitoe heshima zenu kwa wale wote walio wakubwa kwangu na ni niende moja kwa moja kwenye mada kuhusiana na wenzetu wanawake, ambao ni wasaidizi wa maisha yetu kama muumba...
9 Reactions
38 Replies
2K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,796
Posts
49,613,928
Back
Top Bottom