Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

KUULIZA SI UJINGA NAKUMBUKA MARA YA PILI WALITANGAZA KUJENGA BARABARA UBUNGO KMR WATU WAOGA WAKAVUNJA MPAKA LEO HII ILE NJIA AIJAJENGWA SASA KUNA HII NJIA YA KMR BONYOKWA TUNAPENDA SANA...
0 Reactions
1 Replies
22 Views
Ewe mwanamke sikia hii,siri za mmeo ziweke kibindoni,kwamba ni malaya sana,unamfumania siku zote,kwamba kitandani ni dhaifu,kwamba ni muongo,kwamba huwa anajinyea hovyo,kwamba hana kazi ya...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Wasalaam ndugu zangu. Kama kichwa Cha habari kinavyoeleza ,mimi ni mwanamke natafuta rafiki wa kiume (mwenza). Sina vigezo vingi japo nitavitaja kwa uchache kama ifuatavyo: Umri: miaka 40 na...
13 Reactions
57 Replies
765 Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
516K Replies
30M Views
Nawasalimu katika jina la Muungano. Hivi Mauritius wana maajabu gani ambayo Zanzibar hatuna? Fikiria Emirates A380 linatua mara mobility kwa siku abiria (600x2) pwmojanna mashirika mengine kama...
2 Reactions
29 Replies
383 Views
Nyaraka za zabuni (Tender documents) ni mkusanyiko wa nyara-ka zinazoandaliwa na taasisi nunuzi kwa lengo la kuwaalika wazabuni wenye sifa za kushiriki katika mchakato wa zabuni ambapo hatimaye...
0 Reactions
1 Replies
2 Views
Kama kuna mdau anaelewa, hivi huyo Okra mchezaji wa Yanga yuko wapi? Haonekani kwenye benchi na haonekani jukwaani na hakuna maelezo iwapo ni majeruhi, yuko wapi?
0 Reactions
7 Replies
247 Views
1. Katika kuhimiza uwekezaji jiji la Dar es Salaam kutanuliwa kujumuisha wilaya za Mkuranga, Kibaha, Bagamoyo na Kisarawe. 2. Pia, uwanja wa ndege wa kimataifa na bandari kujengwa Bagamoyo...
13 Reactions
70 Replies
3K Views
Aiseeeee habari za leo wazee......... Huyu jirani yangu ana watoto wawili mmoja yuko darasa la tano mwingine yuko darasa la pili, ni mdada wa makamo shughuli yake kuu ni kupika vitafunwa asubuhi...
10 Reactions
57 Replies
1K Views
Ndg wana JF salaam? Nimelazimika kuja hapa kuweka jambo hili sawa. Nimeona uzi unaoongelea kuwa mimi na mhe Nchimbi tumewashitaki vijana hao waliojitaja kwa kuingilia mawasiliano. Naomba kuweka...
23 Reactions
670 Replies
53K Views

FORUM STATS

Threads
1,853,726
Posts
49,612,150
Back
Top Bottom