Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

  • Sticky
Full name: Arsenal Football Club Nickname(s): The Gunners Founded: 1 December 1886 League: Premier League Website: arsenal.com Ground: The Emirates Stadium, (Capacity: 59,867) - Pitch...
139 Reactions
155K Replies
8M Views
Naiombea kwa Mola timu yangu yanga kesho tushinde,kila mwananchi ungana nami kusali kwa dini kesho tupate ushindi
2 Reactions
10 Replies
183 Views
Mimi ni mgeni jiji la Mwanza week hii naenda huko ntakaa mwezi mzima.30 days. Naombeni mnisaidie wapi nitapata Lodge au Hotel nzuri sehemu tulivu ambapo pia si mbali na Mjini. Cost iwe tsh...
1 Reactions
25 Replies
583 Views
Hii mitindo ya wasanii kujifanya wana pesa sana, halafu wakiugua wanapitisha mabakuli ya michango, inakera sana.
5 Reactions
38 Replies
1K Views
Jamani katika harakati za kutafuta kazi, vibarua na ajira rasmi. Wengi tumeangukia sekta binafsi. Aloo huku watu wanasota mbaya, kuna viwanda hapo vingunguti malipo ni bukutano per day. Unaingia...
16 Reactions
43 Replies
2K Views
Habar eadau Hii mila ua eanaume kuwatongoza wamawake imepitwa ma wakar yaan unakuta mdada anakufuata bra bra kibao mara simu yngu imasumbua norekebishie mara nimekufananisha mara hv mara...
0 Reactions
2 Replies
3 Views
Karibuni Kwa Live updates za mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara kati ya Mtibwa Sugar (wenyeji) dhidi ya Mabingwa watetezi , Young Africans sc. Mchezo utaanza leo saa kumi jioni, Katika uwanja wa...
3 Reactions
20 Replies
222 Views
Leo kuna shida kubwa sana ya mitandao yote ya simu. Tangu saa nne. Nimejikuta nayakumbuka madishi ya Elon Musk ya Starlink.
13 Reactions
60 Replies
3K Views
Kiongozi wa hovyo ametugharimisha mpaka sasa baadhi ya mitandao imeshindwa kutoa huduma ya intaneti. Mambo kibao hayaendi, leo tunaingia maofisini na hatuna cha kufanya sababu ya huyu Waziri mmoja...
1 Reactions
5 Replies
225 Views
  • Suggestion
Mi na ishauri serikal hasa kwenye sekta ya elimu maana ndio chimbuko la kila wadhifa elimu ya sekondari iwekwe mafunzo ya udereva ili pindi mtu anapo maliza kidato cha nne anakuwa tayari anayo...
0 Reactions
1 Replies
11 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,448
Posts
49,604,358
Back
Top Bottom