Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Mtoto wangu yoyote yule akija kuwa askari polisi amejifukuzisha mwenyewe kwenye familia.
17 Reactions
111 Replies
1K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Vigogo wa Chadema wako ndani ya Kikao kizito muda huu wakijadili masuala mbali mbali, ukiwemo mustakhabari wa Nchi . Miongoni mwa Ajenda ni kuhusu Chaguzi za...
11 Reactions
49 Replies
1K Views
Wanaume badilikeni zama za kuhangaika na mwanamke kisa unampenda sana epukeni hiyo tabia. Wanawake sasa kwa uchunguzi nilioufanya usio rasmi Asilimia sio chini ya 70% wanajiuza... Anaweza jiuza...
1 Reactions
8 Replies
158 Views
Je simu hiyo anapaswa kurudishiwa, au kuitaifisha au kufanya nn?? Tafadhali nijibu kulingana na sheria inavyosema na sio kwa kuzingatia maadili
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ni moja ya rafiki yangu niliwahi kumshauri kwamba uwezo wa kumnunulia mtoto simu pamoja na kuwa na wifi nyumbani kwake sio kigezo cha kumwachia mtoto uhuru kwenye ulimwengu wa kidijitali Fast...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Ukweli Yanga wanakera, timu haifungwi, timu hausuruhu, timu tangu ligi imeanza iko nafas ya kwanza, mvua zikaja bado iko nafas ya kwanza, hidaya kaja kapita Yanga bado iko nafas ya kwanza Ukwel...
18 Reactions
47 Replies
1K Views
Kulingana na baadhi ya Wakenya kutaka hii battle. Sasa ni muda mwafaka wa kuonesha kipi Nairobi kipo hakipo Dar es salaam na kipo Dar es salaam hakipo Nairobi. Ninaomba tuangalie katika positive...
123 Reactions
515K Replies
29M Views
Mpaka sasa wameshapata funzo kwamba Myahudi akidhamiria anapiga tu, wamekubali kujiondokea, magaidi ya dini yabaki yenyewe panyooshwe kama kwingine kule. Mtakaobaki hapo msianze kusema akina mama...
1 Reactions
5 Replies
98 Views
Mzee Wa upako anaamini Yesu Sio Mungu ni mojawapo tu wa viumbe vilivyoumbwa na Mungu msikilize mwenyewe akiongea https://youtu.be/arslWzOsg6U?si=kb8B1gDqxFl-jXq8
17 Reactions
281 Replies
3K Views
Alichaguliwa kuwa Rais wa Marekani mwaka 2016, na kuingia Ikulu 20/01/2017 baada ya kula kiapo. Katika kipindi cha uongozi wake, alifanya mengi, yakiwemo yaliyowafurahisha na yaliyowakwaza...
6 Reactions
29 Replies
698 Views

FORUM STATS

Threads
1,853,283
Posts
49,595,671
Back
Top Bottom