Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Maisha yamejaa mambo ya kushangaza sana, ambayo Kuna wakati hutufanya tujutie juu ya uwapo wetu hapa ulimwenguni na kila changamoto inayo kuja hutupa hali ya upofu ile ya kutojua nini cha kufanya...
4 Reactions
4 Replies
50 Views
Nitandika Kwa kifupi najuwa mmu watu hawapendi magazeti. Wazungu unafki huu hawaiwezi, kuishi na mtu eti kisa mna watoto lakini upendo umekufa. Mi ni mtu wa society Kwa utafiti wangu wa miaka...
30 Reactions
309 Replies
7K Views
Nimeiona hii video ya kijana Ali mwenye ulemavu na tatizo la kifafa. Nimesikitika sana alichofanyiwa na wananchi wenzetu wa Zanzibar. Huyu kijana kwa wanaomjua wanasema amekulia Sinza na ni...
7 Reactions
73 Replies
2K Views
Wakuu kwema? JF imefanya mjadala leo kuhusu kupata mbadala wa adhabu ya viboko shuleni, huku lengo kubwa ikiwa adhabu hiyo kuondolewa kabisa shuleni. Nimesikia watu wanasema bila fimbo wangekuwa...
0 Reactions
37 Replies
357 Views
Naomba msaada kwenu Wabobezi wa Sheria, tulifungua mirathi 2006 na kumchagua msimamizi wa mirathi. Marehemu aliacha nyumba moja ambayo sisi warithi wote 6 tulikuwa tunaishi humo kasoro tu...
9 Reactions
94 Replies
2K Views
Samia is behind Lissu's movement on this union. In fact, the Zanzibaris are pushing this agenda secretly pretending that it is Lissu who is notorious while it is Sami's movement. Samia is...
4 Reactions
26 Replies
498 Views
ANAYOFANYA CHRISTINA SHUSHO NI MATOKEO YA WANAUME WENGI KUOA WANAWAKE WATUMWA "WASIOHURU. SIKU WAKIPATA UHURU WAO HAYO NDIO HUTOKEAGA. Anaandika Robert Heriel Mtibeli Huwezi mfanya Mwanamke...
4 Reactions
20 Replies
178 Views
Mzuka wanajamvi! Hii nchi fursa ziko nyingi ila kuna fursa mbili wenye akili wakichangamkia unakuwa billionaire tena dollar billionaire haraka sana. Fursa ya kwanza kuna nguvu kazi imekaa...
0 Reactions
0 Replies
1 Views
Kweli Kizimkazi anawanyoosha nyie wanyonge wa nchi hii Leo nilitoka nikapanda usafiri wa umma ni muda sana sijapanda daladala Kumbe nauli zimepanda kiasi hiki😢 Halafu mnaimba kuwa anaupiga...
9 Reactions
52 Replies
1K Views
Bado naendelea kutafuta mwanamke wa kuanzisha naye mahusiano ya kimapenzi. Vigezo nahitaji mwanamke msikivu mwenye adabu. Makazi awe anaishi dar Umri kuanzia 20-45 wote nawakaribisha. Umri...
1 Reactions
6 Replies
26 Views

FORUM STATS

Threads
1,850,062
Posts
49,536,543
Members
667,321
Latest member
Mayenga54
Back
Top Bottom