Where We Dare To Talk Openly

Latest posts

Wabena ni kabila la watu wenye akili sana wanaopatikana tanzania mkoani njombe. Idadi yao ni takribani milion 1 na kitu…..(makadirio) pia kabila hili linapatikana mikoa jirani kama morogoro...
1 Reactions
6 Replies
69 Views
Najua kuna watu watakuja hapa kunishanga na kunishambulia ila kwakuwa huwa najiamini kwa kile ambacho nakisema na nakimaanisha wala sitojali. Narudia tena Mpambe yoyote yule wa Rais (ADC) tena...
8 Reactions
94 Replies
1K Views
  • Sticky
Full name: Manchester United Football Club Nickname(s): The Red Devils Founded: 1878 as Newton Heath LYR F.C | 1902 as Manchester United F.C. League: Premier League Website: ManUtd.com...
169 Reactions
201K Replies
11M Views
Dhambi kubwa aliyofanya Nyererew ni kuiacha katiba ambayo mwenyewe kwa kinywa chake alisema katiba hii akiipata dictator, ataumiza sana watu/ WATANZANIA/WATANGANYIKA. Kwa vile ilikuwa inampa...
6 Reactions
33 Replies
319 Views
Mnaosemaga US na EU ndo baba wa haki za binadamu mko wapi? Mnaoamini demokrasia feki za madola ya magharibi mko wapi? --- The US threatens the International Criminal Court in The Hague: "If...
2 Reactions
24 Replies
980 Views
Mpango mkuu wa Waislamu wenye itikadi ya kuinua Khilafa (yaani utawala wa Kislamu) Mpango huu una mafiga makuu matatu ambayo ni; 1) Kuitwaa Makka 2) Kuitwaa Yerusalemu 3) Kuitwaa Kostantinopo...
19 Reactions
67 Replies
2K Views
Wengi wamesikia kuhusu kauli ya Nape akiwa Bungeni akilalamika na kufoka kuhusiana na kauli ya Tundu Lisu aliyoitoa, akimtaja Rais Samia ni Mzanzibari. Hoja aliyoisimamia Nape ni kule kumwita Rais...
13 Reactions
18 Replies
459 Views
Wanajamii habari za majukumu: Kesho jumatano ya tarehe 01-05-2024 pale Arusha katika viwanja vya sheikh Abeid Amani Karume kutafanyika Sherehe za wafanyakazi Wote wa Umma na binafsi. Sector zote...
1 Reactions
9 Replies
201 Views
Historia haisemi kabisa kabisa iwapo kuna taifa la Kiislamu limewahi kuandamana kupinga mauwaji ya Wakirsto na ama Wayahudi na bila shaka ni tangu Uislamu uwahi kuwepo Duniani, hii ni tofauti...
3 Reactions
38 Replies
550 Views
Jana nilipita Baa Moja hivi usiku mkali kula, nikakuta ndio Bar inakaribia kufungwa. Ghafla nikasikia malumbano kati ya Meneja wa Baa na kabinti kamoja hivi (waitress). Kumcheki yule waitress...
86 Reactions
462 Replies
11K Views

FORUM STATS

Threads
1,849,825
Posts
49,529,016
Members
667,256
Latest member
sir dick
Back
Top Bottom