Kuna siku tena nimeota shule hiyohiyo ya msingi nlosoma miaka mingi sana,mmoja wa aliekuwaga mwl mkuu kipindi hichoo.eti ananikimbiaza vibaya sana huku akiwa amevaa suti, nilikmbia sana kuizunguka shule na yeye yupo nyuma ananikimbiza sana.nilipokaribia upande wa pili wa shule nilimkamata...
Habari,ni Mara ya kwanza kukuona nimefurahi kwakuwa ktk watu wanaoongoza kwa kuota nahisi naongoza duniani:Nina maswali Mengi ambayo sijawahi kupata ufumbuzi:kwa Leo naomba nisaodie kutafsiri hii ndoto:kuna siku niliota nipo shule ya msingi ambayo nilisoma miaka mingi sana,nipo kwenye uwanja...
Utakuwa huna mtoto wewe, hujui uchungu wa Mtoto.hao wagumba wenyewe wanasikia uchungu sembuse wewe.basi tufanye huna Mtoto haya ukute Mdogo wako kapata kipigo kile ungefurahi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.