NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Allan Kijazi amesema kuwa kuna dalili za kuibuka wimbi jipya la ujangili wa tembo nchini ambapo linahamasishwa na watu wachache.
Kijazi ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu Tanapa, amesema kuwa watu hao wamekuwa wakiwadang’anya wananchi kuwa...
RIPOTI ya kwanza ya mwaka 2019 ya Mpango wa Afrika wa Kujitathmini Kiutawala bora APRM umebaini Tanzania kufanya vizuri kwenye suala la ulinzi na usalama mambo ambayo yametajwa na ripoti hiyo kuwa yamekuwepo tangu kupata uhuru.
Ripoti hiyo imeipongeza Tanzania katika kusimamia misingi ya haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.