Recent content by zuujacob

  1. Z

    Ninatoa dollar $1000 kwa atakaenifanikishia Visa hii

    nitafute inbox naona unaongea fact
  2. Z

    Natafuta tv inch 40 ya kununua. Nipo Dar

    Si used? Bei ya dukani naijua pia
  3. Z

    Natafuta tv inch 40 ya kununua. Nipo Dar

    Mi natafuta ya kununua siuzi
  4. Z

    Natafuta tv inch 40 ya kununua. Nipo Dar

    Nipo Dar, nahitaji flat screen inch 40, isiwe na tatizo lolote bajeti yangu ni 350,000/- ukiwa serious nichek
  5. Z

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    NIPO DAR, NAHITAJI FLAT SCREEN INCH 40 ,ISIWE NA TATIZO LOLOTE BAJETI YANGU NI 350,000/- UKIWA SERIOUS NICHEK DM
  6. Z

    TV4Sale Samsung Smart TV inch 40 bei laki 550

    Inbox kama bado unayo
  7. Z

    Kupata Passport haraka kabla ya Januari 2022

    Wadau nahitaji kupata Passport haraka kabla ya Januari 2022, mwenye uzoefu na hili anisaidie. Shukran wakubwa
  8. Z

    Mtu aliyeingia nchini kinyume cha utaratibu (bila vibali) anaweza pata haki ya kudhaminiwa?

    Wadau naomba kujua ni utalatibu gani wa ki haki na kisheria unaoweza kutumika ili uweze kumsaidia mtu aliedakwa kwa kuingia nchini bila kibali Ahsante
  9. Z

    Kijazi: Msidanganywe, Maini na Mafuta ya Tembo sio dawa ya Kansa ya ini wala Kansa ya Uzazi

    NAIBU Katibu Mkuu, Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Allan Kijazi amesema kuwa kuna dalili za kuibuka wimbi jipya la ujangili wa tembo nchini ambapo linahamasishwa na watu wachache. Kijazi ambaye pia ni Mkurugenzi Mkuu Tanapa, amesema kuwa watu hao wamekuwa wakiwadang’anya wananchi kuwa...
  10. Z

    Tanzania yatajwa katika suala la Utawala Bora na Usalama

    RIPOTI ya kwanza ya mwaka 2019 ya Mpango wa Afrika wa Kujitathmini Kiutawala bora APRM umebaini Tanzania kufanya vizuri kwenye suala la ulinzi na usalama mambo ambayo yametajwa na ripoti hiyo kuwa yamekuwepo tangu kupata uhuru. Ripoti hiyo imeipongeza Tanzania katika kusimamia misingi ya haki...
Back
Top Bottom