Movies ninazozikumbuka mimi ni
1. Dame msarabani au saibog macho ya paka
2. Anod ya jini
3. Anod ya jen
4. mniga analiwa na mambo
5. komando kipesi
6. dame marasta
7. matiasi kisima cha mamba
Hizi movie tulikuwa hatuzijui kwa kiingereza hivyo tukazitunga majini ya kiswahili. Kuna msemo ule wa...
Huwezi pata mimba, inatakiwa uhesabu kuanzia siku anayo anza bleed hadi siku ya 10 kuanzia siku ya 11-18 ndo kuna possibility ya kupata mimba coz hizo siku ndo za ovulation kwa mwanamke.
Nimeshapigwa Sana mkwala Na Jumbe Za vitisho Ila siamini huu Msafara Ni vibaraka Wa mrisho, Situlianza Sawa vita ya Kuitetea IKULU Leo umeisaliti Ukawa Kwenye sherehe Za Uhuru, Uhuru Uko Wapi Mnasherekea Uhuru, Uhuru Wa kutowafilisi viongozi wakijiuzulu, Na wanaokufa Maskini Wanangu Wa Burya...
Taa ya OD haitakiwi kuwaka kwenye dashboard pindi uendeshapo gari,
Kazi ya OD ni kupunguza speed ya gari pale unapokiwa above 100, ko ikiona taa ya OD imewaka ujue OD ipo OFF, hutaweza kuendesha gari zaidi ya speed 100.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.