Habarini....Itakumbukwa kuwa nilokuja hapa na Thread ambayo nilielezea jinsi yule jamaa alivyo niibia baada ya kunambia angeniuzia Mackbook pro kwa Laki 2.5! yule jamaa anae jifanya anatokea Njombe Ludewa
Wengi walinishauri na kunipa pole na kutoa mitazamo yao Thanks for that! Lakini pia...
Hio ni picha alio nitumia na kusema huyo ndio mke wake ambae kaka ake yupo Uk ndo huwa anawatumia vitu hivyo, akanitumia na chating yake na mtu mwingine alie dai kuwa amenunua hp na nikaju huyu nae kapigwa kama mimi
Baada ya hapo nikamuliza sasa tutafanyaje biashara na mimi nipo mbali na Njombe? akasema unaeza kuja kuchukua au nikakutumia kwasababu upo mbali na akadai kuwa kuna gari inakuja huku itaniletea,nilimtumia Laki mbili na nusu kwenye namba yake ya tigo ambayo ni hii 0679746914 kwa jina la michel...
Habarini wana Jamvi,kwa faida ya wote na wengine Leo nitafunguka Jinsi nilivyo ibiwa Laki Mbili na Nusu yangu na watu hapa watanishauri nifanye nini au tunaweza saidiana Kumkamata huyu Mwizi! kwa faida ya wengine nitaomba Uongozi wa Jamii Forum Uache huu uzi hapa ili watu wajifunze na wajue ili...
Nimeumizwa sana hadi sasa sitamani kuwa na mtu yeyote kimapenzi naona ni stress tu na wana nipotezea mda bora niwe na mtu ambaye nitakua na enjoy uwepo wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.