Ph ya drinking water ni 6.5-8.5 International standard,ref WHO.Ph ikiwa zaidi ya 8.5 maji yanakuwa hard water,ambapo hayana health effect,lakini Ph ikianzia 10 hadi 14 ndo health effect itaanza kuonekana.mfano irritation of skin,eyes,mucous membrane,hair fibre to swell,gastrointestinal etc...
msaada gani?inaweza kuwa clone/copy!!
chukua imei zake then log on to imei.info,nenda kwenye imei calculator ziweke imei alafu calculate!inatakiwa ikuletee model na info zote za simu yako..otherwise ni clone/copy
thats wat I can help
habari wapendwa,
nauza simu tajwa hapo juu.
Hali yake;mpya.
Model;GT 19060.
Internal memory;8gb.
Camera;back 5mp,front 2mp.
android 4.2.2
colour;black
for more info google the model!!
Contact;+255768848649
location;ilala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.