shukran kwa ushauri,,lakini katika moja ya nipndvyo ni kufanya kama mojawapo ya utoaji wa huduma za kiofisi. kama mtaji unaruhusu, sina hakika sana kama naweza wekeza apo na mtaji ukatosha
Habari
Naomba wazo la biashara kwa mtaji wa milioni 5 mpaka 6. Biashara gani itakidhi kwa kiwango hiki cha pesa?
Uzoefu nilionao, katika maswala ya ICT kwa level ya kawaida na kazi za stationery.
Shukrani.
Mkuu kuandka certfct nmeandk inshot tu..laknvzr umeelewa nmemnsha nn..maan nmeon haina hya ya kuek nots ndef wakt nawez tumia kifup na mtu akaelewa vzr.nmtumia lugha ya mkato inayo eleweka kiongoz.
Pamoja kaka..Nipe kidgo wap ukibase unaeeza fanya jambo la uhakika au ukaon matunda ake..Hasa ktk maswal ya Networking,Programing na Database.wapi nikaze kamba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.