kinginge abadilishe kauli yake siyonzuri kwa wataxnzania atundei haki wanachama wa ccm kiukweli mzee kingunge tuna muheshimu mbona kipindi cha nyuma alikuwa aongei maneno km haya mbona busara ya uzee inamshinda siyo vizuri kwakweli ajawatendea haki wana ccm kwamaneno anayoyasema tufikie wakati...
hiyo ndiyo demokrasia lkn wamechelewa sana tena sana kipi kiliwafanya wasikubaliane toka mwanzo je km watanzania tunge kuwana akili mbovu sasa hivi watu wangepigana mapangakwa ajili ya viongozi km haowasio juwa kujitambua kwa uchu wa madaraka
mutaweza kwani hao jamaaa wawili kila mmoja anataka kwenda magogoni alafu achaguliwe lipumba wafuwasi wa chadema wataridhia au schaguliwe slaa wanach
ama wa cuf pemba watakubali musituviringe akuna ukawa wala upepeo
safi sana unajuwa simba aina viongozi bali inawaongozaji wa club mtu km hans uwezi kusema msuva ni mchezaji wenu wakati anaitumikia yangs sasa ameongeza tena mkataba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.