Recent content by zoy

  1. Z

    CHADEMA na Maajabu ya Musa Leo Bungeni!!

    Kula kulala upo? Mama kuanguka kule same.
  2. Z

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Katererooooo oyeeeeee
  3. Z

    Membe: Kikwete siyo kaka yangu

    Huu ukaskazini ndio unatufanya wakaskazini tuchangishane fedha kwa ajili ya Lowassa. Wewe Msengerema kuwa na adabu acha ubaguzi. Mbona nyie waswahili mmetutawala Mara 2.
  4. Z

    Yaliyojiri katika Uchaguzi Serikali za Mitaa - Dec 14, 2014

    Wadau naomba niutaarifu umma wa watanzania kinachoendelea kwenye wilaya ya mvomero kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa. Mpaka sasa hakuna kituo hata kimoja ambacho kipo wazi kwa ajili ya watu kupiga kura. Hii imetokana na kukosekana kwa vifaa vya kupigia kura. Hakuna kifaa hata kimoja...
  5. Z

    Majibu ya Serikali (Wizara ya Nishati na Madini) kuhusu ripoti ya PAC juu ya Tegeta Escrow Account

    KBosco naona unajitahidi kumtetea pinda. Vp mzee unaogopa baba yako muhutu atafukuzwa nchini nini?
  6. Z

    Hiki hapa ndicho alichokiandika Wenje kuhusu msiba wa mama yake Zitto Kabwe

    Nakuona bwana enock mayuta unajitahidi kulinda chakula chako dogo tutakumaliza sasa.
  7. Z

    Hiki hapa ndicho alichokiandika Wenje kuhusu msiba wa mama yake Zitto Kabwe

    Na wewe huna lolote sasa ni msaliti kwa vijana wapenda mabadiliko wa kitanzania.
  8. Z

    Enock Mayuta na ufisadi wa kutisha halmashauri ya wilaya ya Mkuranga

    Hako kagamba nakafahamu ni kafisadi sana hapa mkuranga anasema yupo pamoja na nape nauye kwenye dili anazozipiga. Huyu dogo pia ni TISS.
  9. Z

    Sakata la Chrisant Mzindakaya na Aeshi Hilaly: Mzindakaya agomea ombi la RC mbele ya Pinda

    Wewe ndio mke wake. Jamaa alishinda kesi na alirudishiwa ubunge kwa pesa ya ufisadi kwenye pembejeo za ruzuku ambazo zinatokana na mikopo toka kwenye taasisi na nchi nyingine za kimataifa alafu sisi watanzania tunadaiwa na deni la taifa linaongezeka wakati aesh kwa kupitia kampuni yake hewa ya...
  10. Z

    Sakata la Chrisant Mzindakaya na Aeshi Hilaly: Mzindakaya agomea ombi la RC mbele ya Pinda

    Yah aesh aliiba kura na wana sumbawanga tukataka tumfanyie kazi akakimbilia mpanda nyumbani kwa pinda kuhifadhiwa. Huyu ni mbunge MAFIA. Hatumtaki tena na anajua hana lake hapa sumbawanga mjini.
  11. Z

    Sakata la Chrisant Mzindakaya na Aeshi Hilaly: Mzindakaya agomea ombi la RC mbele ya Pinda

    Leo dada FF unamsaliti baba yako crisant majiyakunde mzindakaya. Wewe si ndio sister V mmoja wa wajumbe wa secretary ya itikadi na uenezi ya nyinyiemu pale lumumba?
  12. Z

    Membe amdhalilisha rais,aomba fedha na magari uarabuni kwaajili ya mbio za urais

    Vailet Mzindakaya jaribu kuwa na busara basi. Leo nimeamua nikutolee uvivu. Hili ndio tatizo la kupeana vyeo. Tangu upewe cheo cha uenezi umekuwa ----- sana na kujitoa akili. Mwenezi badilika hata kidogo.
  13. Z

    Kikwete aandika Historia katika kulifanya Jeshi la JWTZ kuwa la Kisasa

    acheni mbwembwe nyie kumsifia huyu ------. Watu tunayaonaga magari mapya ya fire lakini yanakosa maji isijekuwa hivyo vifaa vya kivita.
  14. Z

    Ufisadi katika kilimo: Kweli CCM imedhamria kuwauwa wananchi!

    Hakuna mtu asiyejua hilo. kwenye pembejeo kuna maviongozi wengi wa ccm na ndipo wanapofanyia ufisadi na watu wa takukuru na usalama wanajua hili ila wanafumbiwa macho. Kuna uzi hapa wa mwaka uliokowa ukionyesha ufisadi uliofanyw na mbunge aesh wa sumbawanga kwenye mikoa ya rukwa na katavi...
  15. Z

    Zitto: Waziri Mkuu Pinda ni mzigo kwa Taifa ameshindwa kazi Bungeni

    Kama alivyo josephine a.k.a mamaa katelero.
Back
Top Bottom