Yeah unachokisema ni kweli, hakuna kbaya juu ya hilo mkuu, lkn kwa kuwa mama ni mlezi wa familia anategemewa ajue nn preferable foods kwa 'wanae' then from there it's all about her kuamua kipi kipikwe siku husika, hiyo huenda ikapunguza kero wanazozieleza kina baba hapa.
😂 duh! Hata kuitwa baby kumbe kunachoshaga sometimes!! Ila mkuu hapo mwenzio si anakua anadekaa kwa 'dadii', au hata kabla ya ndoa ulikua hupendezwi nalo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.