Mbona sijaelewa hapo
Kamanda hajataja jambazi aliyemjutuhi meja WA jeshi hapo
PILI imekuaje kutoa jina na location alipo mtoa taarifa katika utendaji WA kikachero ni hatar kutoa jina na location na shughul ya mtoa taarifa sijaelewa kifupi hapo
Nchi ya kusadikika sasa,
Yule ayeondoka kabla yake alikuwa na wafanyakazi hewa maelfu, wapiga dili kibao bado aliweza kuongeza mishahara na kuongeza nyongeza kwa watumishi wa serikali aliwazaje Yule jk mstaafu ??? Huyu amezuia mianya ya matumizi serikalini, kaondoa wafanyakzi hewa , kodi...
Wewe ,
Hii kazi hutangazwa unapeleka CV
Na jopo la wataalamu hupitia na kisha humpitisha mmmoja na kufanyiwa interview kisha huangalia research zilizofanyiwa rectification approval na. Ndio mshindi huitwa na kuwa director kwenye kituo huska, upo hapo ndugu soma vigrzo kwenye www.unwho.org
Karudi kiserikali zaidi ndiovmaaana haoni hata makovu yanakuwa kila siku , ongea ukweli kwenye ukweli sio hekaya za abunuasi na mifumo pofu kwa wenye akili hahaha
Sent from my itel_it1503 using JamiiForums mobile app
Clounds hyo jamaa ni ndugu yenu mkubwa hamkujua kuwa akili yake ndogo sana kwenye kufikiri na kutatua matatizo ona sasa kaingia kama jambazi vile tena night ile dah!!!! Poleni sana ila mjifunze jambo hapo , na kwa malaka ya nidhamu na uteuzi wana jambo moja tu LA kufanya kama ilivyokuwa kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.