mlango wa pepo siku hzi wanakagua bikra tu!?.. nauliza tu... pia kutubu siku hizi kumeondolewa?? naombeni kujua... kila dada anaeomba lift ni malaya??.... nisaidieni aisee.... kila mdada anaetembea kwa mguu ana shida/njaa/ hajiwezi kimaisha???.. mtoa mada pole in advance
kemea ujinga maradhi...
wanawake dizaini hyo wanakupa changamoto ya kutafuta hela.. hawa una offer na yy ana offer inakulemaza kimtindo kisaikolojia kua ukiwa unashida unamkmbilia msaidiane we mpe hela tu alafu ukatafute hela nguo peleka kwa dobi.. yy akija chapa mashine kidizain hutajutia kutoa hela yako yaani *"you...
teh teh beba watoto kimbia kuna mazafanta anakubandulia mzigo kiroho safi tu. huna chako..
alafu kama mwanaume una 500000 na mke ana 500000 jua hela iliyopo nyumbani ni 500000 ile yako mwanaumeee..
kunywa valeur ndogo yote ile.. alafu tafuna big G ukate harufu.. ukmaliza ile ukiwa high mfate sasa mwenyew utaona kila kitu knaenda kam kweny script yko kichwan..
thank me later .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.