Sijui chochote ila nafikiria kuwa makosa yamefanyika. Kanakwamba pesa hizo wamepewa kwa ajili ya kazi husika na hatimaye hakuna kilichofanyika tukabaki stagnant na ikiwa pesa ipo watu wamekwenda kuiweka kwa self interest. This is not good
Kwa kuwa haki nchi hii ilishaga fariki kwa hali hii tutaumia sana. Kama mafisiem wanafanya ukuda wa namna hiyo serikali imefumbia jicho. Hii ni aibu ya nchi nzima
Mi hata cjawaelewa bado. Na pia kuna viongozi wengine wanakariri wenzao wakigomea suala au azimio lolote lile pasipo yeye mwenyewe kufanya investigation. Try to prior your good thought before making direct decision.
Sahihi. Lakin pia usichanye siasa na michezo maana michezo ni burudani. Siasa ni mfumo wote wa muendelezo wa utawala na maisha ya raia... Hivyo baasi naomba ulitambue hilo kuwa wembe ni ule ule when you going wrong we reprisal soon as possible
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.