Ninakusupport Sana Heriel hakuna haja ya kumpa mtoto haki ya jina la babayake ilhali huyo babayake amemkataa na sio kumkataa tu Bali amekwepa majukumu ya kumtunza na kumlea Kama mmiliki wake. Na iwe hivyo basi ulichokataa kukimiliki huwezi milikishwa natumai nimeeleweka
Usiseme wanawake wanawaharibu hao watoto was kiume jiulize hao baba was kuwalea hao watoto wako wapi???na usitoe jibu la kuwa wamekufa nop find another genuine answer as a man yourself
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.