Recent content by Zixin

  1. Zixin

    Jinsi nilivyomuoa mke wangu

    😂😂😂😂😂😂
  2. Zixin

    Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

    Ninakusupport Sana Heriel hakuna haja ya kumpa mtoto haki ya jina la babayake ilhali huyo babayake amemkataa na sio kumkataa tu Bali amekwepa majukumu ya kumtunza na kumlea Kama mmiliki wake. Na iwe hivyo basi ulichokataa kukimiliki huwezi milikishwa natumai nimeeleweka
  3. Zixin

    Mwanamke peke yake hawezi kumkuza mtoto wa kiume kuwa mwanaume

    Usiseme wanawake wanawaharibu hao watoto was kiume jiulize hao baba was kuwalea hao watoto wako wapi???na usitoe jibu la kuwa wamekufa nop find another genuine answer as a man yourself
  4. Zixin

    Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

    Stupid,stop putting blames on one side. Do you the think the act was done by one human???
  5. Zixin

    Mwanaume akikataa mimba au kukutelekezea mtoto, usitumie majina yake Kwa mtoto wako

    Na hiyo yote ni kwasababu mzee wako alikulea,hakukutelekeza. Vip Kama ungekuwa umetelekezwa bado ungenena uliyoyanena
  6. Zixin

    Ninampenda ila tabia zake zinanitia hofu

    😂😂😂😂😂nipe 50,000 mm pesa iendelee kugawanywa
  7. Zixin

    Ninampenda ila tabia zake zinanitia hofu

    Copy sir 😁😂
  8. Zixin

    Hataki tufanye mapenzi mpaka tuoane

    WOW sikudhani nitapata comment Kama hii 👏👏👏👏
  9. Zixin

    Narudia tena, Mke wa mtu ni sumu

    😂😂😂
  10. Zixin

    Nimezaa na mke wa mtu, roho inaniuma mwanangu kulelewa na baba mwingine

    Mwanachuo aliesoma??? wakati mambo yako kichwani ni ya kipumbafu .ulienda kusoma nn sasa ni Bora ungeacha wengine wakapata fursa hizo
  11. Zixin

    Kwanini wadada wengi hupenda kuolewa na wanaume wenye miaka 30+, kuna nini nyuma ya pazia?

    Nadhani akili ya uvumbuzi na utatuzi wa mambo huwa bado ni mdogo.
  12. Zixin

    Hadithi: Joto La Mapenzi

    Waaah hii story ni smart sna
Back
Top Bottom