MtuloBM
JF-Expert Member
- Feb 26, 2020
- 542
- 477
umeandika uharao, kwani mama Diamond kamleleaje Diamond?
Mama Mwana FA kamleleaje FA?
Mama Dreki msanii mashuhuri Marekani, kamleleaje Dreki?
na wengineo kama hao ambao wamelelewa na mama na sio baba, mbona wako freshi tuu
Nilowataja hapo ni baadhi ya wasanii wachache sijaweka wote.
Pia kuna matajiri wakubwa wasiowajua baba zao, ila wamelelewa na mama zao tuu. Mbona wao wako freshi.
Kama hujui kitu sikuingine usijaribu kuandika uharo.
Umeongea na mihemko. Vijana wengi mtaaji wa hivyo wamelewa na mama. Nina ndug wengi ambao baada ya baba zao kufa mama zao hawkauwa na wanaume tena.