Recent content by Zionist

  1. Zionist

    Mnyama anaua mara moja binadamu anaua mara tatu

    Napiga bapa langu nikisindikizia na huo ugali nyama choma 😇😇😇
  2. Zionist

    Kama unataka pesa hupaswi kutafuta pesa bali unapaswa kutafuta kitu kitakachoongeza thamani yako. Hicho kitu kitaleta pesa mifukoni mwako.

    Mtoa mada umewahi kujiuliza kwa nini mvuvi anaenda na nyavu kwenye maji kutafuta samaki, haendi mikono mitupu na nadharia yake tu...?😇😇😇
  3. Zionist

    Marine time: Mada maalum ya viumbe maji, uoto, mazao kwenye mito, maziwa na bahari

    Ukisikia zimwi likujualo halikuli ukakwisha ndio hili sasa...😇😇
  4. Zionist

    Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

    Familia yake sijui ina hali gani huko...😪😪
  5. Zionist

    Huu Mwaka nimekutana na Mwanamke wa ajabu sana. Hii dunia tuwe makini

    Subiria ile kauli ya " Baby nikwambie kitu " , halafu ulete mrejesho hapa...
  6. Zionist

    Ukiwaona wanawake wanaovaa kama hivi, huwa unawachukuliaje akilini mwako??

    Ukiondoa wigi, makope, makucha anafaa kwa kila fani, akiwa chuzi shata shata, au kurumangia, hata kushiba kwa kuangalia picha yake..😍😍
  7. Zionist

    Tabora: Atapeliwa saa ya Milioni 1 na mganga wa kienyeji

    🤣🤣🤣..Bro, unataka kusisitiza nini hapo ? .. 🏃‍➡️🏃‍➡️🏃‍➡️
  8. Zionist

    Natafuta mtu wa kunifundisha graphic design

    Mapumziko ni kila baada ya masaa mangapi ? Na wakati wa kupumzika, tunajiburudisha na nini ? Au kivipi ? Nasubiri maelekezo... !! Nasubiri, sitafuti kazi nyingine...🥰🥰🥰
  9. Zionist

    DSTV na utapeli wa movies za kujirudia rudia.

    Mimi niliongea nao mara nyingi nikaona hawabadiliki, nikang'oa dishi nikawapa watoto wakapime skrepa wanunue pipi kijiti waburudike...🤭🤭🤭
  10. Zionist

    Mafanikio hayatangazwi bali hujitangaza

    Mchawi anapoona aliingizwa king kwenye uchawi, unamtesa, hutafuta na yeye wakuteseka nae..... Ndio kanuni ya wachawi. Tuwe makini.
  11. Zionist

    Chukua hii itakusaidia

    Mimi ni nani hata nilibishie hili bandiko hadhimu...?....🤔🤔🤔🤔
  12. Zionist

    SMS nilizozikuta kwenye simu ya mke wangu zimenistua

    Usiguse simu ya mkeo, na yeye asiguse simu yako. Ni kukwepa propaganda za kuanzisha vita..🤗🤗🤗
  13. Zionist

    Changamoto katika ujenzi: Mafundi uchwara wanavyoharibu kazi

    Ina maada huyo ni mzabzab anajitayarisha kumfuata mpishi jikoni ?...acha maskhara Mkuu..🤣🤣
  14. Zionist

    Changamoto katika ujenzi: Mafundi uchwara wanavyoharibu kazi

    Hapa nafikiri ni kwa ajli ya wageni wafakamiaji yaani waroho wa vyakula, ili wasisumbue wastaarabu kwenye maongezi..😇😇😇
  15. Zionist

    Changamoto katika ujenzi: Mafundi uchwara wanavyoharibu kazi

    Siku hizi siingii sana JF, kwa sababu ya majukumu. Ila hii nimekutana nayo mida hii imenilipua kicheko, yaani fundi kaweka mtego wa umeme kwenye chanzo cha maji...🤣🤣🤣
Back
Top Bottom