Recent content by zinj

  1. Z

    Utata wa mpaka wa ziwa Nyasa: Google map wako sahihi kwa 100%, serikali ya Tanzania msipotoshe na kutisha watu

    Mkuu: Ikiwa mpaka wa Tanzania ni ufukweni mwa Ziwa Nyasa, hii itakuwa ni dhana potofu, kwani maji siku zote yanahama. Ukienda pale bandarini (Itungi Port) utakuta ile bandari ya zamani ipo kwenye maji, imezama na kuonekana paa za nyumba tu. Sasa hapo utawezaje kufahamu mpaka halisi.
  2. Z

    Vijana walioandamana (Gen Z) wakutwa wametupwa kwenye viroba wakiwa wameuawa kwa kuchinjwa kama nyama

    Otherwise where does these bodies come from. Is it fair and just for a fellow human being to be butchered and disposed through that way?
  3. Z

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Kwani ni mara yake ya kwanza kwa kutoa kauli zenye utata? 1. Ninawafahamu na nitawataja viongozi wote wanao uza madawa ya kulevya!! 2. Ni marufuku kwa wabunge wote kuja Dar wakati vikao vya bunge vinaendelea huko Dodoma!! 3. Ni lazima kwa Wanaume wote wa Dar wakapimwe tezi dume!!
  4. Z

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Anayejua/kufahamu issues za ndani huwa ni mtu mwenye kifua, haropoki hovyo hivyo.
  5. Z

    Paul Makonda Special Thread: Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Paul Makonda; Make Arusha Great Again

    Hawawezi kuongea kama Makonda kwa sababu wanajitambua, na kufahamu mipaka ya utendaji wao.
  6. Z

    Wamisionari waliofika Tanganyika walikuta watu wamestaarabika na wanajua kusoma na kuandika

    Mkuu: Jaribu kufanya utafiti kidogo tu kuhusu University of Timbuktu Kuanzia karne ya 13-18 halafu linganisha na andiko lako.
  7. Z

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Tatizo hapa ni kwamba, hawa TANESCO hawatowi taarifa kwa Umma ikielezea chanzo na sababu ya kukatika umeme mara kwa mara. Na hii inapelekea kwa wateja kuwa na dhana potofu kwa TANESCO.
  8. Z

    Marekani yasema Mamlaka ya Palestine ndio itapewa Gaza hapatakuwa na Hamas tena, Milele!

    Ideology ya Myahudi imejaa hofu ya kutoweka na haito muacha salama milele
  9. Z

    Kagasheki: Mtindo wa Makonda kuwapa tumbo joto Mawaziri haufai. Dunia nzima kuna utaratibu wa kusikiliza kero za wananchi

    Tofautisha Kati ya kusikiliza kero za Wananchi ambalo ni jambo la msingi na kuwa summon Mawaziri na kuwapa ultimatum hadharani, Serikali duniani kote zina utaratibu wake maalum wa kujiendesha.
  10. Z

    Siasa Michezoni (Simba vs Al Ahly): Azam TV wanapaswa kuonywa, kuadhibiwa au kufungiwa!

    Hivi wewe umebadilika lini. Mbona zamani enzi za Mwl. Nyerere alipo vunja uhusiano na Israel juu ya suala la Palestine ulikuwa kimya. Wacha unafiki umekwishwa kuwa mtu nzima sasa.
  11. Z

    Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

    Mfano: Kibiti-Lindi Road Project.
  12. Z

    Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

    Mkuu: Ukipata nafasi pitia nyaraka za KUWAIT FUND for Development, na ARAB FUND FOR ECONOMIC AND DEVELOPMENT utapata picha halisi ya ufadhili wao hapa nchini.
  13. Z

    Mfahamu Mtawala wa Dubai, Sheikh Maktoum

    Mkuu: Kuna Kuwait Fund imefadhili miradi mingi ya maendeleo hapa nchini, zikiwemo barabara kiwango cha lami.
Back
Top Bottom