Kuna namna sahihi ya kucheza siasa za Tanzania, lakini si kwa njia ya Gwajima.
SIasa za Tanzania hazihitaji mbwembwe. Hii nchi sio tajiri lakini walau ina dira.
Kuna namna kwa nini baada ya Nyerere Mwinyi alikuwa rais, akafatiwa na Mkapa, akafatiwa na Kikwete, akafatiwa na Magufuli, na sasa tu...