Recent content by zimmerman

  1. zimmerman

    Profesa ananyenyekea uteuzi hivi, nini maana ya kuwa na PhD sasa?

    Ni hulka na haiba yake binafsi haihusiani na uprofesa hata kidogo. Hata hivyo ukweli unabaki, kuwa profesa bongo toka enzi zile hadi leo haijawahi kuwa sifa ya kujiamini au kutoka kimaisha. Pia siasa za bongo zina tabia ya kuwatukuza wateuliwa wa siasa na kwa mtu aliyewahi onja "utukufu" wa kuwa...
  2. zimmerman

    Watumishi wote nchini msiwe wapumbavu ulipo kama nafasi ipo piga

    Mkuu, Ndugai yuko wapi, Lowassa yuko wapi, Mengi yuko wapi? Bakhresa senior yuko wapi? Asas senior yuko wapi? Hii dunia, hizi nchi, haya maisha ni zaidi ya siasa, ni zaidi ya wanasiasa. Thamani ya mtu, umuhimu wa mtu, kusudi la mtu haliamuliwi na pesa, kiwango cha pesa alizonazo mtu siyo kila...
  3. zimmerman

    Watumishi wote nchini msiwe wapumbavu ulipo kama nafasi ipo piga

    Maisha hayako hivyo. Hii dunia tunapita na kuna mambo ya msingi zaidi yanayotawala maamuzi ya mtu zaidi ya "kupiga na kulala mbele". Utapiga, utalala mbele mwisho wa siku utakufa na watoto na vijukuu vyako watabaki kwa nchi hii na kuishi kwa tabu kama raia wengine uliowapiga pesa zao. Ishi kama...
  4. zimmerman

    Tuache Conspiracies na Speculations: Viongozi wengi ni Wagonjwa!

    Hivyo vifupi wengine sisi sio madaktari
  5. zimmerman

    Inaonekana anapitia wakati mgumu sana

    Gwajima sio kichwa. Ni vile tu anasema mambo unataka kusikia. Lakini kwenye intelijensia ya watu haitoshi tu kujudge mtu kwa anayoyasema. Nenda deeper, tizama namna zake, si za leo tu bali hata za juzi na juzi kutwa. Hoja yake kwamba makamanda wa vyombo vya ulinzi usalama walindwe inalenga...
  6. zimmerman

    Inaonekana anapitia wakati mgumu sana

    Legitimacy yoyote aliyonayo Gwajima inayompa airtime hata kuitisha press conference inatokana na kwamba yeye ni kiongozi wa dini tena "askofu" kwenye dhehebu lake kwenye ukristo. Anaposimama kwenye mimbari na kuanza kuwaita watu majina ya ajabu "ponjoro" na kuanza kuwakashfu viongozi wengine wa...
  7. zimmerman

    Inaonekana anapitia wakati mgumu sana

    Kuna namna sahihi ya kucheza siasa za Tanzania, lakini si kwa njia ya Gwajima. SIasa za Tanzania hazihitaji mbwembwe. Hii nchi sio tajiri lakini walau ina dira. Kuna namna kwa nini baada ya Nyerere Mwinyi alikuwa rais, akafatiwa na Mkapa, akafatiwa na Kikwete, akafatiwa na Magufuli, na sasa tu...
  8. zimmerman

    Haitusaidii Ndugai, Kinana, Mpango, Majaliwa na Polepole kujitoa uongozi sababu hawakubaliani na Rais Samia; wanachukua hatua gani kuinusuru nchi?

    Hii nchi ya ajabu sana. Ukiwa kwenye system mambo yako yasipoenda vizuri unamchukia mtawala ila mambo yako yakienda unavyotaka unamsifia mtawala ka mungu mtu vile.
  9. zimmerman

    Rais Samia anapata wapi Mamlaka ya kukashifu Makanisa na kuyaita Makanisa ya Kishetani?

    Sasa wewe kanisa kama lile la kiboko ya wachawi tuliyemfukuza nchini unaweza kuliitaje?
  10. zimmerman

    GE2025 Wakili Fatma Karume asema CHADEMA haiwezi kuzuia UCHAGUZI

    Kwa hiyo hata mimi ninayeona mama anastahili miaka mitano mingine na ninayeona Chadema kususia uchaguzi ni mwendelezo ule ule wa kufanya maamuzi ya kijinga yanayowasulubu wenyewe kuliko mtu mwingine yoyote ni mwislamu? Ni hivi, usilete udini sehemu ambayo haistahili udini. Nchi hii imetafunwa...
  11. zimmerman

    Rais Samia: Sitarajii hema hili litakwenda kudanganya watu ila litakwenda kukaribisha Wakristo wapate Neno la Mungu

    Kwanza japo mama ni mwislam ila kaongea neno la kiroho kabisa. Kuwa na hema la thamani namna ile halafu likatumika kumwabudu na kumtajirisha binadamu badala ya kumhubiri Kristo ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Ifike hatua watu watofautishe kati ya injili ya Kristo na utapeli wa dini.
  12. zimmerman

    Rais Samia akishiriki Uzinduzi wa Hema la Mwamposa, Julai 5, 2025 Viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe

    Sema ashavuruga kwa Gwajima lazima atakatishe kwengine. Imani waliyonayo hii nyomi kwa Mwamposa wangekuwa na imani hiyo hiyo kwa Kristo mbona Tanzania ingekuwa mbali sana.
  13. zimmerman

    Kufungiwa Kanisa la Gwajima, Uhuru wa Kuabudu na Hatima Yetu

    Niongee tena kama mkristo kuhusu hili sakata linalomhusu Gwajima na kanisa lake. Iko hivi, kuna mambo mengi ya ajabu yanaendelea katika dini ya kikristo na madhehebu yake. Kuna wahubiri wengi wa ajabu mno baadhi ni wa kutoka nje kama yule jamaa "kiboko ya wachawi" tuliyemfukuza juzi na wengi...
  14. zimmerman

    Nchi za kibatu (Kiafrica) zinafeli sehemu ndogo sana ambayo ikifanyiwa kazi tunaweza kupiga hatua

    Unaongea vitu viko kwenye kichwa chako havina ushahidi wa documents. We si mtanzania? Una evidence zipi kutoka Mali au Burkina Faso au Kenya au Uganda ambayo imekuwa na kiongozi mmoja toka miaka ya 80 huko? Iko hivi, chukulia nchi kama unavyochukulia familia. Familia moja na nyingine...
  15. zimmerman

    Matunda ya "demokrasia" kenya inashuhudia vifo zaidi ya 16 kutokana na maandamano

    Nakubaliana na wewe. Kuna mambo ya kipumbavu sana wazungu wanayo na kisa wana hela wanamaendeleo ya vitu basi tunafikiri maendeleo yao yamesababishwa na "demokrasia". Na kwa jinsi waafrika tulivyo wajinga basi tunafikiri demokrasia ni kuwavimbia watawala na kuandamana na kupiga mayowe na...
Back
Top Bottom