Recent content by zilongwa

  1. Z

    Anachotafuta Makonda ni laana, anafokea maafisa Elimu

    Wallah nilikua simjui tu huyu mtu makonda na sasa nimemuelewa hongera sana dokta Joseph magufuli kutuletea huyu mtu. Ndio namna ya viongozi wanaohitajika katika ulimwengu huu. Hongera sana makonda
  2. Z

    Uingereza: Waziri ajiuzulu akilalamikia sera za Gaza

    Mimi nachoamini Israeli wanamuogopa sana palestina ndio maana kamuwekea vikwazo vya kununua silaha. Kama kweli Waisraeli kama wanavyojiita wenyewe na wakipigwa sapoti na makafiri wenzie wawaruhusu Palestine wanunue silaha then ndio watuthibitishie uteule wao. Eti una SMG kisha unapigana na...
  3. Z

    Kwa mshahahara ulioongezwa na serikali ccm tuwang'oe 2015 madarakani

    Bora tutawaliwe na mafisadi wa CCM gesi yetu ya mtwara tutanufaika wote japo kiduchu kuliko kuwapa nchi CHADEMA halafu papa aichukue yote kwa maendeleo ya Vatican. Eti kanchi kadogo Vatican hakazidi hata square meter 10000 halafu kana uchumi mkubwa kuliko USA! Kama si wizi nini hakina madini...
  4. Z

    Aliyebadili dini Sudan akutana na papa Francis

    Mtoa mada mimi sijaona jipya hapo kama ulivyosema yeye baba yake ni muumini na mama yake ni kafiri, sasa mtoto kaamua kuwa kafiri hapo kauwasili vipi uislamu? Pia hapo kwa papa nazidi kupata hofu na dini yenu yaani nyinyi mtu akikulia katika uislamu then akawa kafiri papa uwa anafurahi! yote...
  5. Z

    Mishahara bado sana, watumishi wa umma mkaze roho

    Nasikia kwasababu wakristo wamekula pasaka bila mishahara ndio maana serikali sikivu ina-compasate
  6. Z

    Vunja jungu ya kufa mtu

    Hakuna vunja jungu katika uisl am ila makafiri wameanzisha ili kuupaka tope uislam,tunajua waislam hatupendwi na makafiri[watoto wa sheitwan] hivyo hatushangai so hakuna jipya
  7. Z

    Kwanini Askofu mkuu wa Roma huingiaga msikitini??

    Kukaa mbele katika uislam sio kama ndio utukufu ama cheo la hasha,kwan hata imamu akichelewa akikuta ibada anakaa nyuma{safu ya nyuma}
  8. Z

    Uongo na Hadithi za Kutungwa vilivyogeuka ukweli wa Dunia Kumuhusu Samaki Mtu

    Mkuu usibishe samaki mtu kweli yupo,nakumbuka siku moja[2001] nilizinguana na demu wangu so nikaenda kutuliza zangu akili pwani kisiwani pemba,ilikua jioni flani hivi na eneo hilo nilikua peke yangu ghafla nikaona kiumbe kama demu anaogelea katika kina kirefu cha bahari kuu ya pemba[wapemba...
  9. Z

    CCM walibadilishwa na kardinali pengo - serikali 2

    Amani ya Tanzania imeshikiliwa na watu dhaifu tena wenye mapenzi na nchi yao{waislam} ila siku watakapochoka kukandamizwa huku nahisi ndio mwisho wa amani ya Tanzania,kwan ngoma ikilia sana mwisho wake mbaya
  10. Z

    Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

    Mkuu sina chochote kwa sasa zaidi ya mshahara na ndio maana nataka ushauri wenu Great thinkers
  11. Z

    Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

    Mkuu sina chochote kwa sasa zaidi ya mshahara na ndio maana nataka ushauri wenu Great thinkers
  12. Z

    Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

    Ahsante mkuu je kwa maisha ya sasa yalivyo magumu kwa mshahara wa milion 1.2 utatosha nijenge na hatimae kuwa bilionea ndani ya miaka 11 from now?
  13. Z

    Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

    Nashkuru nitafanyia kazi hilo
  14. Z

    Nataka kuwa bilionea ifikapo 2025 msaada please

    Nashkuru mkuu kwa ushauri wako kufunga na maombi sio tatizo kwangu,swali langu je nianze vipi katika kuwekeza
Back
Top Bottom