Recent content by zigy

  1. Z

    Tunaoielewa CCM tumemuelewa Juma Nkamia, tumeshayaona matokeo

    Ni kweli democracy iheshimiwe lakini yeye mwenyewe kisha sema hataki vipi umlazimishe? Mtu amekataa kuongeza chakula vipi umlazimishe? Eti kwa kuwa ww unataka Maoni yangu inapaswa nkami.. Ashtakiwe kwa kulazimisha uvunjaji wa katiba
  2. Z

    Mzimu uliokuwa ukisumbua CCM sasa umehamia CHADEMA

    Kipara usilinganishe cdm na chama chenu unaangalia tu aliosema nje mbona huhitaji yaliosemwa ndani? Lowasa kuondolewa cdm sio kwa kauli yako ni maamuzi ya chama wala ww huwezi kujua ni faida gani cdm wamepata kwa lowasa kuingia ikulu Kwa faida yako shinikiza ikulu ltoe mazungumzo yao alafu...
  3. Z

    Kubenea: Lowassa ameonesha njia

    Mbona hukutuambia seif na karume walitoka nje na kusifiana seif ni katibu mkuu na lws ana cheo gani?
  4. Z

    Shaka: Lissu si mkweli, Abeid Karume, Dr. Kleruu na Mahinda walishambuliwa kwa risasi

    Tuwekeeni cheo chake tumpime na maneno yake
Back
Top Bottom