Recent content by Ziddy one

  1. Ziddy one

    Polisi jamii wanalipwa na nani?

    Katika mikoa mikubwa kma dsm kamati za ulinzi na usalama mkoa huwa wanaomba misaada kwa makampuni na wafanyabiashara wakubwa kila mwezi kuchangia mfuko wa pj
  2. Ziddy one

    Sisi Watanzania ni wanafiki sana

    Tena sana na wanasahau hayo maneno machafu wanayotoa na kupata muda wa ku comnt ni kwa sababu ya uwepo wa polisi nchini
  3. Ziddy one

    Hongera kwa jeshi la Polisi

    Mnajifanya mnampenda sana ponda bt si mtu mzuri atatugawa watanzania kidini. Nashangaa anawaponda makafiri yaani wakrito na ndio wanaomtibia muhimbili au anajua ma dr wote muslim?
  4. Ziddy one

    Wanaharakati wa haki za binadamu (LHRC) Ponda siyo binadamu?!!?

    Akiuwawa polisi mbna wanaharakati huwa amsikiki au polisi sio binadamu?
  5. Ziddy one

    Hivi ni sahihi kumtaka kamanda wa Morogoro tuu ajiuzulu?Au ndio mfumo...

    Tatizo watz kila kitu kujiuzuru sasa rpc kafanyaje?
  6. Ziddy one

    askari wasio traffic ni halali kuuliza leseni

    Uko sahihi kabisa. Ni darasa tosha kwa wadau mtandaoni big up
  7. Ziddy one

    Fedha, polisi na mauaji ya Arusha

    Tusilaumu polisi tu wanategemea kupata info kutoka kwetu ndio wazifanyie kazi au unafikiri wanatumia mashetani/ kutambua matukio tuwape ushirikiano wakutosha tutafanikiwa kutokomeza mauaji haya cse wauaji tunaishi nao mitaani na hawakai angani
  8. Ziddy one

    IGP Mwema kituo cha polisi Ferry upande wa Magogoni kimezidi kwa rushwa

    Hapo umenena bt kazi yao pia ngumu hailingani na kipato chao cha mwezi. Wanafanya kazi masaa 24 mshahara kma wa house girl
Back
Top Bottom