Tulisha izoea tabiya ya Dr. Kaburu, ukiwa mpinzani wake basi we si mtanzania. Utadhani nchi hii ya mamake. 2010 alipiga propaganda kuwa mbuke wa Kigoma mjini Serukamba ni mnyarwanda tena shemeji yake Kagame.
PolePole amejishushia heshima katika jamii. Ame kweli pesa ni shetani, PolePole huyu tuliyemjua mwenye viatu vya kukatikatika leo anakuwa nafanya interviews!!! Malaya mkubwa...
Polepole amejipotezea heshima katika jamii, kwa kujifanya baba wa katiba. Anatumiwa na CCM eti ndio njia iliyobaki kumpotezea credit Liwasa. Pesa ni hadui wa maendeleo kwa Polepole.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.