Recent content by Zero Star

  1. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Naweza kufa kisa huu mdomo wa huyu mwanaume naomba msaada

    Dunia si mbaya ila walimwengu sasa
  2. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Hakuna Mwanaume aliye na Kibamia isipokuwa Kiasili Maumbile yao ni makubwa kuliko ya Mwanamke

    Duuh vi mstari tenaa.....kwahyo tuvipeleke gym
  3. Zero Star

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mfanyabiashara wa Zimbabwe Wicknell akiendeshwa kwenye gari na Rais wa Kenya, William Ruto

    Ukute ndo yaleyale ya upinde......
  4. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje parachichi tunauziwa bei kubwa hivi?

    Dar ni connection kuna mida hilohilo tunda la 2,000 ukienda hyo mida linauzwa 400 adi 500
  5. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi- ukiitazama kwa jicho la tatu ndo chanzo cha mikosi na laana ndani ndoa hili

    Sasa mkuu ndo mtupangie tuwachangie kuanzia kiasi fulani.....aagh Na watu wanatajirika mkuu sema hujabahatika kuwa kwenye hzo kamati Ndo sio emergency issues......kila mtu abebe mzigo wake
  6. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi- ukiitazama kwa jicho la tatu ndo chanzo cha mikosi na laana ndani ndoa hili

    Wenzetu walioendelea haya mambo ya michango mbona hawana.... Mtu anataka atajirike kwa michango
  7. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi- ukiitazama kwa jicho la tatu ndo chanzo cha mikosi na laana ndani ndoa hili

    Mimi nilvyo oa ata baadhi ya ndugu hawakujua na kuna ndugu na jamaa zangu hawajui adi leo kama nmeoa...
  8. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi- ukiitazama kwa jicho la tatu ndo chanzo cha mikosi na laana ndani ndoa hili

    Afu wakiachana hawasemi wala hawaitishi group
  9. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi- ukiitazama kwa jicho la tatu ndo chanzo cha mikosi na laana ndani ndoa hili

    Kuna watu kila kamati wapo adi unajiuliza huyu mmama au mbaba hanaga majukumu.....daah
  10. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Michango ya harusi- ukiitazama kwa jicho la tatu ndo chanzo cha mikosi na laana ndani ndoa hili

    Haiwezekani mtu umelala unaamka unakutwa ushaungwa kwwnye magroup whatp tena magroup zaidi ya 2.... Na watu washajipa muongozo kabisa kianzio 100,000.... Unaangalia yale majina yapo kama 200 hivi....sijui ahadi sijui huyu kamaliza bra bra bra Tunachoreshana tu....kuna wengine wagumu hawatoi...
  11. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Mwanaume hodari anajua kumdekeza mke/Mpenzi wake

    Upo episode ya ngapi mkuu
  12. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Tanga: Waja leo kuondoka majaliwa

    Kila kiumbe na ulevi wake......
  13. Zero Star

    JamiiForums Tanzania KERO Idara ya Radiology – Muhimbili Hospital hatulipwi malipo ya muda wa ziada, kwanini sisi tu?

    Nakupe hongera mkuu kwa muda uliochukua kujibu hlo dodoso....sikutegemea na taasisi zengine waige hilo. Kuhusu ulicho kijibu kina ukweli au laa hilo niwaachie wataalamu...
  14. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Janga la Betting kwa Watanzania tujiandae na rehab center

    Najua hilo mkuu na kuna siku niliweka 1m ndani ya dkk 10 mkeka uka ungua ile siku nilijiona bongee la falaaa Nikaja kuweka tena 10k nikala laki 320....na apo ndo akili ikanifunguka sasa, sibeti pesa ambayo najua ikiliwa ntaumia
Back
Top Bottom