Sasa mkuu ndo mtupangie tuwachangie kuanzia kiasi fulani.....aagh
Na watu wanatajirika mkuu sema hujabahatika kuwa kwenye hzo kamati
Ndo sio emergency issues......kila mtu abebe mzigo wake
Haiwezekani mtu umelala unaamka unakutwa ushaungwa kwwnye magroup whatp tena magroup zaidi ya 2....
Na watu washajipa muongozo kabisa kianzio 100,000.... Unaangalia yale majina yapo kama 200 hivi....sijui ahadi sijui huyu kamaliza bra bra bra
Tunachoreshana tu....kuna wengine wagumu hawatoi...
Nakupe hongera mkuu kwa muda uliochukua kujibu hlo dodoso....sikutegemea na taasisi zengine waige hilo.
Kuhusu ulicho kijibu kina ukweli au laa hilo niwaachie wataalamu...
Najua hilo mkuu na kuna siku niliweka 1m ndani ya dkk 10 mkeka uka ungua ile siku nilijiona bongee la falaaa
Nikaja kuweka tena 10k nikala laki 320....na apo ndo akili ikanifunguka sasa, sibeti pesa ambayo najua ikiliwa ntaumia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.