Recent content by Zero Star

  1. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Gaidi Ahmed Yaqoub aangukia mikononi mwa IDF na kuangamizwa bila huruma!!

    Mkuu umeiona mashine hyo ya kazi!!
  2. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Watumishi wa TRA Wanaoomba Rushwa—Uzoefu Wako Ukoje? Tuwafichue hapa

    Wewe unazani zile offence zinaukweli basi.... Sasa mtu anamtaji wa biashara 10m afu kwenye ukaguzi deni linakuja 100m how!! ni kutengenezeana hofu tu ili uingie king. Na wanajua kabsa wafanyabiashara wengi hawajui sheria za kodi....+ Ile lugha iliyotumika.
  3. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Ila kiukweli Tanzania inaulazima kuanzisha somo la madini uko mashuleni.......99.7% ya watanzania hawana uelewa wowote wa madini
  4. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Ukipata pata soko nistue na mimi....uku tunachezea bao
  5. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Usimtukane Mh. Rais Samia. Usimtukane Mh. Tundu Lissu. Kiongozi yoyote yule anakosolewa ila hatukanwi

    Na yeye kiongozi akimtukana.....afanyaje..!!?
  6. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Don't play degerous game unless you're willing to lose.... Kwenye mkeka wa ndoa mwanaume weka double chance.... Apo huna cha kupoteza
  7. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Kutoka kulala chini ya madaraja hadi muigizaji bora duniani

    Ila pesa bhna inabadilisha adi mwili wa binadamu.....angalia hzo pua za hao watu wawili, njoo kwenye kichwa sasa kutoka rasta man adi upara
  8. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Hivi kwani ni lazima kila nyumba inayotazama barabara, iwe na fremu ya duka?

    Kwenye fremu unaweza ata geuzo stoo bhna si lazima pale duka
  9. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Je, wajuzi mna nini cha kusema kuhusu mawe haya?

  10. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    ..
  11. Zero Star

    JamiiForums Tanzania Stress za kukosa uteuzi zina haribu ubongo wa Pro. Tibaijuka

    Ticha vipindi vinakupita ooh
Back
Top Bottom