Recent content by ZENNAB

  1. Z

    Natamani kuolewa

    Ha ha haaaaaa! kwan we dini gani? Kama vp nenda kanisani au msikitini ukaombewe maana unatisha miaka 27 unasubiri nn? au ndo ulikuwa unakula ujana kwanza? Unajua mambo kam hayo huwa yanakuja tu automatically ukiona hayakujii ujue unakasoro aidha hukujituliza ama unatabia ambayo si nzuri...
  2. Z

    Sina hamu na mume wangu

    Pole mamyy ila zidisha duaa hayo ni mapito tu yaani wanaume ni waajabu sana ila jikaze utashinda duniani na akhera pia
  3. Z

    Huu ndio urembo wa mwanamke wa kiafrika halisi

    Miss chaga mbona we hujakaa uchi kama hao acha kukosoa uumbaji wa Mungu
  4. Z

    Akina dada, kweli mna mambo!

    Habari ndiiio hiyo kuingiza yote ndani kuumizana tu
Back
Top Bottom