Ha ha haaaaaa! kwan we dini gani? Kama vp nenda kanisani au msikitini ukaombewe maana unatisha miaka 27 unasubiri nn? au ndo ulikuwa unakula ujana kwanza? Unajua mambo kam hayo huwa yanakuja tu automatically ukiona hayakujii ujue unakasoro aidha hukujituliza ama unatabia ambayo si nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.