Cha kwanza ni lazima tufahamu what is education and what is money
Elimu ni set of doctrine, maarifa,philosophy,methodology nk ambazo watu wengine wametaarisha,
na hao waloitaarisha elimu chanzo chao hawakuwa na elimu ilikuwa ni watu walokuwa na uhuru wa kufikiri, kwa mana ukiwa na elimu...