Mi nashangaa tu, Kama serikali na vyombo vyake vote na nguvu zote hawajui pole pole alipo mana yake kuna shida kubwa sana nchini na mpasuko wa hatari sana, yaani serikali imepasuka vipande viwili na pole pole analindwa na upande mmoja wa serikali
Cha kwanza ni lazima tufahamu what is education and what is money
Elimu ni set of doctrine, maarifa,philosophy,methodology nk ambazo watu wengine wametaarisha,
na hao waloitaarisha elimu chanzo chao hawakuwa na elimu ilikuwa ni watu walokuwa na uhuru wa kufikiri, kwa mana ukiwa na elimu...
Kama ikitokea uchaguzi ukawa na figisu na unatarajiwa kuwa na figisu, basi nnashauri tumchangie pesa anunue chama cha cuf, amuondoe lipumba na aanze kukikuza chama,cuf ni maarufu
Huu muungano ndio unatengeneza vyama Vya aina hii, na pia vyama vinatendeneza viongozi wa kuabudu muungano wa aina hii, watu wakipata uongozi cha muhimi kwao ni kudumisha muungano na sio kujenga uchumi na kusaidia watu was
Muungano ndio kiini cha matatizo ya uchumi tanzania, muunganu unaondoa morality na unaondoa patriotism, bila ya morality na patriotism katika kila ngazi ya kiserikali na kijamii uchumi ni ndoto na rushwa inatamalak,
Ukiwa na mifumo ya kiserikali isiyotafsirika na kuingia akilini,huwezi kuwa na...
Swali zuri mkuu, manake hapa ndio tunapochanganywa ili tusielewane tunapojadiliana kuhusu uhalisi wetu binadamu.
Maana ya nafs ni self au awareness of self au conscious of one’s self, haya yote kwa ukamilifu wake ya I namaanisha spirit
Na maana ya soul ni ruh kiarabu au roho kiswahili
Na...
Asante mkuu.
Inawezekana tunakoseana kwenye lugha tu,
Binadamu amejengeka kwenye sehemu tatu
Spirit,soul and body
Mie sprit ndio nafsi which the inner part
Soul ni roho ambayo ipo Kati ya mwili na spirit
Na kisha ndio mwili
Kuna uzi flani hapa nilichangia mada kwa kiingereza labda isome...
Swali zuri hili na mara nyingi tunakuwa hatuwezi kuuliza maswali kama haya kwa sababu tunajifanya tunajua kwa hio tukiuliza maswali kama haya tunajiona wajinga,kwa hio tunabakia hatuulizi ili tuwe miongoni mwa wanaojua.
Roho, nafsi na mwili ni vitu tafauti na kila kimoja kina kazi yake ili...
Na mie nachangia naomba nitafautiane na mtoa mada kwa baadhi mambo,ntajaribu kuichambua na kuikosoa hii mada,mada nzuri Ingawa inaonekana kama ya vitabuni sana,mtanisameh ndungu zangu.
1) What is spiritual awakening?
Spiritual Awakening means that you have realized that you are an Immortal and...
Muungano huu umeanzishwa kwa order ya walitupa uhuru na mpaka leo wanaisimamia order hio, wakoloni walipokuja afrika walitaka lazima serikali zote walozikuta ziyayushwe, walipomaliza zanzibar walielekea Ethiopia kuyayusha ufalme wa Ethiopia.
hakukuwahi kuwa na sababu ya muungano na mpaka leo...
Hii psychological manipulation ni jambo kubwa sana na linamhusu kila mtu dunia nzima, watu wote duniani watakuwa psychologically manipulated kwa namna moja au nyengine, ili binadamu aweze kuishi kwa Amani na wenzake ni lazima awe manipulated psychologically. Wanaotu-manipulate wanaamini hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.