so wote tunaomchukia lowasa ni ccm engine ni chadema tuliokiacha chama na kujiunga na chama kingine sababu fisadi jizi limevamia kambi
Ccm embu ficheni ujinga wenu. Maana mnajivua nguo wenyewe. Na kudhiirisha kwamba ni chukitu juu ya lowassa.
nashangaa kumwona masha jukwaani akinadi ukawa wakati tulishamkata 2010 kutokana na utendaji mbovu kama mbunge wa nyamagana na waziri wa mambo ya ndani, je ni kwa mazingira gani huyu mdhaifu anapewa nafasi? kama amebadilika awaombe kwanza wananchi msamaha kwa kuwa dhaifu na pia atuhakikishie...
Ikiwa Lowasa atapita na kuwa rais, je waziri mkuu ataweza kuwa nani? Atatoka CHADEMA au NCCR au CUF? Na je watapokezana kijiti kama walivyokubaliana na JK, vipi akimsaliti?
jamani me nafikra tofauti kidogo inawezekana bado wanaficha ukweli tusijue tofauti zinazoendelea ndani ya jeshi la polisi especially kamanda marehemu mwenyewe na sekta nyingine, mfano kwani yule afisa usalama aliyerushiwa risasi huko mwanza na kupishana maneno na marehemu kamanda hatuwezi...
me nisaidieni jaman ameshitakiwa kwa kosa gani? ni kuharibu mali ya dini au kudhalilisha dini kwa kukojolea huo msaafu cjui au chanzo cha kusababisha machafuko? hizi sheria nazo kweli ngumu
"lini sasa? wakati na sisi watoto wa vigogo tuna vigezo wengi tumesoma india na malasia tumekuja chukua nafasi zetu" angali ucwe mfuasi wa kibwetele ipo siku lini au unategemea 2015? haya tusubiri tuone.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.