Asanteh kwa taarifa
naomba kuuliza na mwenye uelewa annieleweshe vyema
Je usipoenda kuripot kazini kuna madhara yoyote pindi ukiomba tena ajira zikitangazwa zingine
Mimi, mwalimu katika Shule ya Sekondari Likongowele, Wilaya ya Liwale, kwa heshima kubwa napenda kuwasilisha malalamiko haya kwa mamlaka husika kuhusu hali ya usalama wangu pamoja na familia yangu.
Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tukikabiliwa na tishio kubwa la usalama (hata kuuwawa) kutokana na...
Hiyo miaka 5 ulikuwa unafanya nini chuo kama hujui cell biology...mechanism ya dawa utaikumbuka ama ni kufanya POLYPHARMACY
Utatuua wagonjwa daktari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.