Ahsante kiongozi ,pia kma una uzoefu kwenye sekta hii ningeomba kushea na wewe mkuu hasa kwenye hayo maeneo
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Unachosema ni sahihi, lakn kabla hujafanya uwekezaj nazani unafaham lazima ujue eneo husika na kp unaenda kufanya, kwangu ningelikua na uwezo ningalitembelea hayo maeneo yote kwa uchunguz zaid, lakn sitoweza
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Salamu zenu wakuu, natumai mu wazima.
Nina uhitaji wa kufahamu kiundani zaidi, upi kati ya mkoa tajwa hapo juu una fursa za uwekezaji?
Nafahamu mikoa hiyo ni mashuhuli kwa vilimo mbalimbali. Je, biashara gani ya kufanya huku ukiwa unajihusisha na kilimo? kilimo gani, wilaya gani?
Sipendelei...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.