Sasa wazazi wako wapo kijijini huko wamezeeka na hawana Tena uwezo wa kufanya kazi, unataka Nani awalee Kama sio wewe.....
Bila shaka wewe ndio wale vijana wa dar mnaokula Bata kidimbwi na Malaya, wakati wazazi wenu wanateseka huko vijijini
Ndio nilifeli na sikutaka kusoma tena, Vpi wewe uliefaulu na ukasoma mpaka University una nini cha maana zaidi ya huo mshahara wako wa 500k per month...???
[emoji1][emoji1][emoji1]mkuu Yani ndio kwanza tarehe 24, ushaanza kulia lia mshahara , haujatoka,,at least ingekuwa tare 29 au 30 hapo ndio uanze kuilaumu serikali
Hiyo ni gono sugu, na tiba yake ni sindano, Yani unadungwa sindano mpaka inazama katikati ya uboo kwenye kile kitobo kinachotoa mkojo,,, Afu sindano huwaga ni kubwa Kama zile za kuchomea ng'ombe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.