Ni pale utakapogundua kuwa ulimpatia jina la Ex wa mkeo mwanao uliemzaa na huyo mke wako wa ndoa bila kujua " vp itakuuma kiasi gani? Ama utapotezea tu na maisha yaendelee ...
Kumbuka pia wakati unapendekeza hilo jina mkeo aligoma Kiana, na kwa vile we ushalipenda ukaforce lipite na likapita "...
Wanathaminika kutokana na waliyoyafanya katika ulimwengu huu,
, na wala hatujipendekezi bure " we angalia kati ya mzungu ama muhindi ama mwarabu jumlisha mwafrika ni yupi akifungua kampuni ama kiwanda na
Kuajiri watu " watu watafaidika wapi kama sio kwa mzungu ....
angalia hata migodi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.