ndg hapo si kweli au labda tuseme sio ote, mm pia niliingia katika mahusiano na dada aliezaa tena kapitia changamoto nying kapigwa na maisha, baada ya kua nae nkamjali kwa kila jambo mpaka kumlelea mwanae lkn kaja kubadilika mpaka nmeshindwa kumuelewa sasa na mm nmeamua kumrudisha kwenye shida...
hakika weng ni matapel, nami naona kuna msichana nilimpenda sana nkawa nae nilimkuta ana mtoto alizalisha akaachwa nae toka nmekua nae ananiwekea mashariti kuhusu kufanya nae maoenzi kwa kigezo mtoto atazulika bado mdogo, nkimwambia kuna dawa ya kuzuia hcho kitu kutokea na nilikua nshagharamia...
hakika, na maswala ya kuangalia iman wakti mwingne yanatunyima watu sahihi wa kuishi nao kayika maisha, matokeo yake unaangukia kwa mtu wa iman yako lkn sio mwenza sahh kabisa wa maisha
ahsante kwa ushauri kwakweli hata mm nmejiandaa kisaikolojia kwa lolote.. japo huyu mdada kanihakikishia kwa asilimia zote hawez ntupa. nina matumaini huenda mama ake akaja kunielewa ni kipind cha mida tu.
ofcoz baba wa mtoto anahudumia mwanae kwa nafasi yake, na mm pia pale huyu mdada anahitaji msaada juu ya malezi ya mwanae sijawai kuacha kumsaidia wala kumtupa pale anapohitaji msaada wangu katika malezi ya mtoto wake.
Wana jf, mm ni kijana niliekatika mahusiano ya kimapenzi na bint mmoja, ambae bint huyu kiukweli japo nmemkuta akiwa na mtoto nmetokea kumpenda sana hadi kufikia maamuzi ya kutaka kuishi nae kama mke na kwa kiasi kikubwa ni kama namsaidia kumlelea mwanae kwa kumsaidia kila kitu,lkn changamoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.