Recent content by zebingwa

  1. Z

    Bongo Hiphop; a workable tool against pseudo-politics in Tanzania

    By correspondent, In late 1980s no one could imagine the influence of Bongo Hip hop just a decade later, with American style and modern beats Hip hop was negatively viewed by the aged people, it was nothing to them but moral decay. In early 1990s there were Hip hop crews such as Mr II Sugu,Hard...
  2. Z

    Daktari hapa maana yake nini?

    Asante sana, sasa ameanza hedhi tangu tarehe 22, inawezekana akawa mjamzito(tendo la ndoa lilifanyika) ? mimba inawezekana hata kama amepata hedhi?
  3. Z

    Daktari hapa maana yake nini?

    Kweli amevusha hizo siku, lakini leo kableed? inawezekana akawa na mimba licha ya kuanza bleed? kabla sijampima lazima nizungumze naye kwanza na niwe well informed siyo nikimbilie tu UPT, kumbuka alitumia clomiphene citrate na ana miaka 33
  4. Z

    Daktari hapa maana yake nini?

    Tarehe 11 mwezi wa 7 wife alianza period, na siku ya tatu akaanza clomid 50mg kwa siku 5 akinywa orally, sasa tukapin point siku za ovulation tukajamiiana kwa lengo la kupata mimba, sasa akategemea kama period ingeweza kuanza tarehe 10 mwezi wa 8, lakini hakuanza period mpaka leo tarehe 22 , pia...
  5. Z

    TBC 1 Huyo mchambuzi Mgaya hajui kitu

    Hivi huyo Mgaya mnamlipa?mbona hajitambui au anajitolea tu?
  6. Z

    REFLECTIONS ON THE (PROHIBITION OF BUSINESS ACTIVITIES FOR NON-CITIZENS) ORDER, 2025 AND ITS IMPACT ON THE REVENUE BASKET

    I wonder if all non-citizens traders are micro, mind you some of them are macro with technology and strong financial abilities, do we also want to restrict such people? we are finally making national policy basing on grievences of few traders at kariakoo. Non-citizen traders are the "must...
  7. Z

    REFLECTIONS ON THE (PROHIBITION OF BUSINESS ACTIVITIES FOR NON-CITIZENS) ORDER, 2025 AND ITS IMPACT ON THE REVENUE BASKET

    I always insist that being a politician does not make you economically genius, this restriction against non citizens, is not economically logical, and it provokes challenges, and not in anyway offer a solution.
  8. Z

    Baa si baraza la nafsi, makanisa si mapumziko

    Hili ndo best andiko langu tangu mwaka huu uanze, long live Jf
  9. Z

    RIP Fr Beda Pavel(OSB) mwalimu wa Membe na mlezi wa kiroho wa Kingunge Mwiru(1935-2025)

    FR Beda Pavel alizaliwa mjini Humberg ujerumani, alipadrishwa mwaka 1953 na kutumwa Tanganyika mwaka huohuo. Amewahi kufundisha Biology katika seminary kadhaa nchini, amehudumu parokia mbalimbali, mara ya mwisho alihudumu kama paroko wa parokia ya kilimahewa jimbo kuu la Dar es salaam. Fr Beda...
  10. Z

    Baada ya dawa hizi nini hutokea?

    Tulionana na specialist akampa dawa za duphaston ili ashike mimba, baada ya kumaliza tu vidonge 10 akaanza period, tukapiga mechi siku za hatari kama dokta alivyotuambia, siku 4 kabla hajaanza period akaona matone mawili,baada ya siku mbili likatoka tone moja, ilipofika tarehe ya kuanza period...
  11. Z

    Mussa Mkama mhariri wa gazeti la Dira yuko wapi?

    Wakuu Anaitwa Mussa Mkama mhariri wa zamani wa gazeti la Dira ya Mtanzania na baadae Fahari Yetu, mwenye namba zake anipe, kuna habari yake aliiandika, nataka kumpa vielelezo, nadhani itasaidia wananchi kuelekea uchaguzi, nimehitimisha utafiti wa miaka 6 nataka kumpa mrejesho
  12. Z

    Chawaism; why we question

    It is useless and sarcastic to be "chawa" in a poor country like yours, a kenyan friend told me, so guys let's stop this behaviour, be chawa of your own achievement!
  13. Z

    PreGE2025 Kuna vita ya chinichini inaendelea dhidi ya viongozi wa dini wanaokosoa Serikali

    Asante sana Dr Kitima, umesimama na BEATITUDES alizosema Yesu kwenye Matayo 5: 1-5 , umefanya kazi ya kuwapatanisha viongozi wa CDM, ombi langu hata wakija CCM au CUF, ACT au CHAUMA , wewe wapatanishe tu, hiyo ndiyo INJILI ya kweli, hata wakija simba na yanga wapatanishe tu
  14. Z

    Wazazi kuweni makini wakati mnachagua English Medium Schools za kusoma watoto wenu

    Watanzania tuwe makini, kama unaamua kupeleka mtoto shule ya english medium, basi ni bora iwe international schools lakini hizi za uswahilini ni upuuzi mtupu, english yao utasikia "teacher is telled to teach us masematikis tumolo" sasa huwa nashaangaa na mzazi anavimba kichwa kuwa anasomesha...
  15. Z

    Lissu anaongoza kikao muda huu, Mbowe is real democratic!

    Mbowe haogopi mtu ila anaheshimu demokrasia, na ana respect mamlaka ya viongozi wenzake kama katiba ya Chadema inavyotaka
Back
Top Bottom