WashaPita ma Comedian wengi Duniani Sir Charlie Chaplin Mr Bean na wengine wengi Tena waliMake money za Kutosha... ila kwa Hiki anachoKifanya Joti ni Njaa tuu Zinamsumbua
Kama Siasa Ingekuwa Soccer bac Lowassa Ningeamuita Mastermind uyu Jamaa ...maana Anacheza na Akili za CCM ady wanashindwa kuleta Hoja ye AmeTulia Tuu akija AnaSpeak Sense anaPozi..
JK jana kwenye Ufunguz wa Kampen alishindwa kabisa kuTupa Hoja kwann Tumchague Magufuli zaid zaid aliToa Vijembe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.