UJASUSI WA KIDINI SEHEMU YA TATU
KUTENGENEZWA NA KUZAMA KWA MELI YA TITANIC.
Baada ya Wajasuiti kupenya kwenye mifumo ya serikali ya Marekani, kama tulivyo ona sehemu ya kwanza na ya pili Maraisi kazaa walidhibitiwa kwa namna tofauti tofauti.
Baada ya hapo mipango yao ilikuwa ni kushikilia...
UJASUSI WA KIDINI
SEHEMU YA PILI
MISSION YA KUIVAMIA AMERIKA NA SERIKALI MAARUFU DUNIANI
1. BUNGE LA VIENNA (AUSTRIA)
Watawala wa ulaya waliitisha baraza kuu huko vienna, austria mnamo 1814 -1815.
Bunge hili la vienna liliunda USHIRIKA MTAKATIFU(HOLY ALLIANCE), na 'Vyama vyenye mkataba mkubwa'...
Karibuni katika mfululizo wa Makala kuhusu UJASUSI WA KIDINI. SEHEMU YA KWANZA.
WAJESUITI ( Jumuia au jamii ya YESU)
Ni shirika la Kanisa Katoliki ambalo linafafanuliwa kama utaratibu wa kidini.
Hii inahu ukweli kwamba imeundwa na kikundi cha wanachama ambao hufuata sheria na kanuni za kanisa...
1 Akaja mmoja wa wale malaika saba, wenye vile vitasa saba, akanena nami, akisema, Njoo huku, nitakuonyesha hukumu ya yule kahaba mkuu aketiye juu ya maji mengi;
2 ambaye wafalme wa nchi wamezini naye, nao wakaao katika nchi wamelevywa kwa mvinyo ya uasherati wake.
Ofisi ya upelelezi ya Rwanda (RIB) imethibitisha kuwa inamshikilia Mkuu wa makasisi wa Kanisa katoliki Parokia ya Rwamagana nchini humo, Jean-Marie Telesphore Ingabire, ambaye anashukiwa kusaidia katika madai ya wizi na kufich ushahidi.
Msemaji wa RIB, Thierry Murangira, ameiambia BBC, kuwa...
Kanisa la mitume, mitume wake wote waliuwawa na asikari wa kirumi
Na huyo mtume petro mnae msema kuwa ni papa wa kwanza aliuwawa mwaka 64 AD na asikari wa kirumi katika mji wa rumi
Na wakati huo hata mamlaka ya kanisa wa cheo cha upapa haukuwepo.
Kumbuka cheo cha papa kimeanzishwa mnamo...
[emoji871]Mhubiri 8:9
Hayo yote nimeyaona, nami nimetafakari moyoni mwangu kila kazi ambayo imefanywa chini ya jua, wakati ambapo mwanadamu amemtawala mwanadamu mwenzake kwa kumuumiza.+
[emoji871]Katika vita vya Har–Magedoni, Ufalme wa Mungu utaziharibu serikali zote za wanadamu zilizojaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.