Hello Wapendwa !
Naomba Msaada wenu kwa wale waliofanikiwa kuendelea na kumaliza mchakato wa maombi ya ajira kada ya UALIMU.
Nimejaribu kufanya usajili (registration) lakini mfumo unagoma " inaonyesha username imeshatumika nimejaribu kutumia username nyingine (email) ikakubali pindi...
Wadau habari za easter,
Leo naandika kiufupi kabisa kuna siku nitaleta mzigo mzima humu.
Naomba niongee na vijana umri wa miaka 18-30, kundi hili halijachelewa kuamua ni wakati mzuri wa kuwa na tahadhari na lazima mjue siasa za Nchi hii ni gamble mfano wewe kijana uliyehitimu procurement pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.