Recent content by ze povu

  1. Z

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Hello Mwalimu RCT naomba niangalizie link hiyo YardLine Play Systems Twin Turbo Tower III Playset, Installed [M-1217173] - $169.00 : patioplayset.com
  2. Z

    Ushauri: Mke wangu mchafu

    Noma sana mshikaji kumponda wife wako. Sikutazamia uje kujiexpose kihivyo bhana. Mi nimekufahamu, je wife wako akiona hii habari itakuwa vipi?
  3. Z

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Hello Chief Mkwawa hii kodi kwenye window phones inakubali (Microsoft Lumia 540). Msaada tafadhari
  4. Z

    Serikali: Marufuku kupiga kelele Maeneo ya Makazi!

    Taasisi kama NEMC haina faida kwa Watanzania hata kazi yake aionekani kwa wananchi masikini. Huo usumbufu wa makelele yanayopigwa kwenye mabaa wao kimya mpaka bosi wao akisema ndo wanakurupuka.
  5. Z

    Serikali: Marufuku kupiga kelele Maeneo ya Makazi!

    Naomba mamlaka husika wawachukulie hatua wote wenye kupiga miziki na kukera wenzao. Mtu anakuwa na kigrocery anapiga mziki hadi usiku mkubwa alafu ni kila siku. Hivi watu wa NEMC na waziri husika mpaka rais aseme ndo mfanye kazi.
  6. Z

    Nimesitisha rasmi kuchangia harusi

    Harusi ni upuuzi mtupu. Mi kipindi naoa wote niliowachangia walikuwa wananipiga tarehe na awakutoa kitu kabisa. Kuna jamaa yangu nilimchangia 350,000TZS siku naoa hakutoa hata mia akasema hana kitu. Sema nilikuwa nimejipanga nitafanya sherehe ndogo 75% ikatoka mfukoni mwangu baada ya kuona...
  7. Z

    Uwekezaji huu wa Dangote uangaliwe upya

    Hivi kuna mtu anamatarajio ya jambo lolote kwa hii serikali. Hao wahamiaji ndo dili za wakubwa na wazee washakula 10%
  8. Z

    Abdallah Majura ajitosa ubunge

    Abdala Majura na mwingine kaongeza jina moja anajiita Abdala Majura Bulembo tunaomba tuambiwe nani anatumia jina la mwenzake
  9. Z

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Habari yako Dr, ninatatizo la vidole vya mikono kufa ganzi tatizo linaweza kuwa nini, na tiba yake ni nini.
  10. Z

    Vincent Nyerere: Mbunge wa 'hovyo' kuwahi kutokea Musoma mjini

    Hicho kibarua cha kuuza mafuta ndo kinasababisha utukane watu, ngoja kampeni ziishe ndo utajua
  11. Z

    Vincent Nyerere: Mbunge wa 'hovyo' kuwahi kutokea Musoma mjini

    Hiyo ni mihemko ya kupewa vihela na Mathayo ndo mnakuja kutupigia kelele hapa. Dr Ma 1. Barabara ya Nyakato Mutex alikuwa haipitiki miaka yote ya hao mliowataja Leo inapitika kutokana na uongozi wa hao unaowadharau. 2. Kata ya Nyamatare ilikuwa haipitiki Leo unachagua upite wapi kwenda mjini...
  12. Z

    Msaada jinsi ya kuunganisha TV na receiver kwa HDMI Cable

    Naomba mwenye uelewa jinsi gani nitaunganisha TV aina ya ZEC na Receiver aina ya Sony HT-M22. Zote zinaonyesha zinatumia HDMI System, nimejaribu kila njia imegoma.
  13. Z

    Zitto Kabwe natofautiana na wewe Kwa mtazamo wako kuhusu mgawanyo Rasilimali za Taifa

    Waendesha bodaboda ni waha je hawa wenyeji kwao watapata vipi maendeleo yako. Leo Lipumba kwao hata kibanda hakuna dar anaishi kwenye gorofa heri Sita ye anajumba LA kizamani hapo Urambo lina uzio wa miti. Tukitaka maendeleo yetu lazima tunachokipata kiasi turudishe tuliko toka, zingine ni...
  14. Z

    Zitto Kabwe natofautiana na wewe Kwa mtazamo wako kuhusu mgawanyo Rasilimali za Taifa

    Huwezi pata maendeleo kama wananchi Wa sehemu husika hawapendi maeneo yako. Mi ni mwenyeji wa Musoma ila nimewahi kuishi mbeya, dar na sasa Tabora. Huu mkoa umechoka ni kutokana na wenyeji hivyo maendeleo kupatikana ni vigumu hapa tunapenda unafiki hatutaki kusema ukweli. Maduka mengi hapa...
Back
Top Bottom