Recent content by Ze observer

  1. Z

    Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

    Muombe Mungu akupe majibu, lazima akukomboe na utakua sawa hofu na wasiwasi juu ya hayo mahusiano itaondoka, na kama ni shetani kapandikiza Kwa huyo mtu wako atakaa sawa, Ili kesho Yako isiharibiwe na mahusiano yasiyo na tija
  2. Z

    JamiiForums Usiku wa manane

    Mrembo
  3. Z

    Rais Samia Asema UVCCM isiwe sehemu ya kungoja vyeo kutoka serikalini au kusubiri kuwaunga mkono wagombea

    Hili mbumbumbu (Lucas) Kila mtu analikataa ila yeye anakua mbishi, ni ushamba na upunguani unaoufanya maana unashida kdg ktk kufikiri mkuu. Elewa unachoambiwa, na nyuzi zako zinaboa sana... Fanya kazi zako bwana, unajaza server tu Kwa upuuzi unaoufanya, na uteuzi hutokuja kupata maana huna akili
  4. Z

    Najuta kuoa mwanamke mwenye mtoto

    *henzi kabisa, hukujua kua utakuja yakuta haya. Tatizo ni tamaa zilikulenga tu za muda mfupi. Nothing come unalert zaidi ya kujua kabisa yatakuja tokea haya ila ulishupaza shingo yako na kufumba macho, sijajisumbua kusoma mpk mwisho lkn I know your content maana akili kama zako wanazo wengi...
  5. Z

    TEC ni chombo cha kidini au ni chama cha kisiasa kisicho rasmi?

    Linapokuja suala la maslahi ya mwanadamu lazima watumishi wa Mungu waingilie kati na kutolea ufafanuzi juu ya Jambo husika ikiwa Linahitaji msisitizo. Maana wanatimiza Ile kauli ya Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa, sasa wao lazima wao au wengine lazima waelimishe na kuwatoa Watu katika...
  6. Z

    Naomba ushauri nimekwama kimapenzi, niufuate moyo wangu au akili?

    Pole Sana daktari, hisia ziko juu Sana kwako na zimeelekeza conscious mind Yako kutokubali uhalisia wa mambo (kuona hata alifanyalo lisikupoteze kwenye mapenzi) lakini, Kwa afya Yako ya akili pamoja na mstakabali wa maisha Yako kwakweli acha naye jifunze kuacha mtu aende after 21 days utakua mtu...
  7. Z

    Wanaume ni wa ovyo sana

    Daah pole Sana, Muombe Sana Mungu juu yake
  8. Z

    Kitu gani kilikufanya ukampenda sana mpenzi wako?

    Msafi, mweupe mpole na anajua kunyanduana mnooo
Back
Top Bottom