Muombe Mungu akupe majibu, lazima akukomboe na utakua sawa hofu na wasiwasi juu ya hayo mahusiano itaondoka, na kama ni shetani kapandikiza Kwa huyo mtu wako atakaa sawa, Ili kesho Yako isiharibiwe na mahusiano yasiyo na tija
Hili mbumbumbu (Lucas) Kila mtu analikataa ila yeye anakua mbishi, ni ushamba na upunguani unaoufanya maana unashida kdg ktk kufikiri mkuu. Elewa unachoambiwa, na nyuzi zako zinaboa sana...
Fanya kazi zako bwana, unajaza server tu Kwa upuuzi unaoufanya, na uteuzi hutokuja kupata maana huna akili
*henzi kabisa, hukujua kua utakuja yakuta haya.
Tatizo ni tamaa zilikulenga tu za muda mfupi.
Nothing come unalert zaidi ya kujua kabisa yatakuja tokea haya ila ulishupaza shingo yako na kufumba macho, sijajisumbua kusoma mpk mwisho lkn I know your content maana akili kama zako wanazo wengi...
Linapokuja suala la maslahi ya mwanadamu lazima watumishi wa Mungu waingilie kati na kutolea ufafanuzi juu ya Jambo husika ikiwa Linahitaji msisitizo. Maana wanatimiza Ile kauli ya Watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa, sasa wao lazima wao au wengine lazima waelimishe na kuwatoa Watu katika...
Pole Sana daktari, hisia ziko juu Sana kwako na zimeelekeza conscious mind Yako kutokubali uhalisia wa mambo (kuona hata alifanyalo lisikupoteze kwenye mapenzi) lakini, Kwa afya Yako ya akili pamoja na mstakabali wa maisha Yako kwakweli acha naye jifunze kuacha mtu aende after 21 days utakua mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.