Nadhani kaongelea kwa wakati uliopo na yeye ni muhusika mkuu hata alipo kua haulaga alikua anaongelea kwa wakati uliopo as if ni kitu kinachoendelea mda huu. Ni sehemu nyingi hasimulii kama ni wakati uliopita labda aliya nukuu matukio.
Watakao shangilia hili ni wale ambao hawajawahi kulima ila kwa mkulima hili ni pigo kubwa. Kuna mwaka nililima nikawa nasubiri mda wa bei nzuri niuze kilicho nikuta sitaki tena kurudi shambani tena maisha yangu yote. Wakati wa mavuno gunia la mpunga liliuzwa sh55 nilisubiri miezi 7 badae...
Kama unaweza kuwasiliana nae ebu msaidieni huyu dogo anapotea kakubari kua tambara la deki. Club imesha sema kwa maandishi kua kama anaondoka club zifike mezani ziweke bids basi hawawezi kataa offa zitakazo kuja.
Kwa hiyo miaka3 alikubaliana nayo na sio aliwekewa bila kujua kama alivosema. Akae zake kitaa mpaka 2024. Na ile milioni 100 alio rudishiwa haitoshi kwenda cas au fatma karume kaimaliza yote.
Kutoa top goal scorer na kufika finali mlisha wahi kujaribu? Ligi kuu tumechukua, shirikisho tuna medali, na meza imaenda kupinduliwa pale pale uarabuni. Azam tuna medali ngao ya jamii tulisha isahau haya wewe kolo una nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.