Ndugu mtoa mada kwanza pole kwa majanga yaliyokukuta,Kwa uelewa wangu mdogo nilionao virusi vya Ukimwi vinaweza kuonekana kuanzia kipindi cha siku (90) tisini / Miezi mitatu mara tu baada yakuingia mwilini kwakutumia vipimo vya rapid test ambavyo vinapatkana kwa hizi hospitali zetu za kawaida na...
Poleni Sana naumia utadhani ni Mimi ndiye ninaepitia situation kama yenu.
Ila Mungu mkubwa lisemwalo lipo kuweni wavumilivu naamini hyo j3 na nyie mambo yatkuwa mazuri.
Ila hawajui tu nyie wa Equivalent mnahtaji mda zaidi kwa wale ambao wamesha ajiriwa process ya ruhusa nayo huchukua mda mrefu...
Inawezekana.Hiyo course ya Physiotherapy kwa hapa Tanzania inatolewa chuo cha KCMUCo pekee,Pia ni miaka minne kwa wale direct from school na miaka mitatu kwa wale Inservice.
Pole ndugu,Nyie mnao mbeza ni kwavile hayajawakuta.Mungu mkubwa naamini utafanikiwa.usikate tamaa.Hiyo course ya Pharmacy umechaguliwa chuo gani?Pia tofauti ya ada kati ya hivyo vyuo viwili ipoje?Kiwango cha mshahara kwa course za diploma upande wa sekta ya afya ni sawa kwahyo kutokana na hali...
Habari zenu?
Jamani nina rafiki yangu alikuwa na mchumba wake ambae walikuwa wanapendana sana na walikuwa wameahidiana kuja kuoana.
Muda ulipofika yule mwanaume alienda kuwaambia wazazi wake, lakini mama yake alikataa akasema hamtambui huyo mchumba wake na kuna mdada mwingine ambae yeye...
Siyo halali lakini hlo swala lipo Sana ktk jamii zetu na linazidi kukua.Wapo ambao hutengwa kbsa pale wanapoenda kinyume na ndugu wanavyopenda.Lakini wengne hukomaa hivyohivyo Kama huyo mwenzi ulienae anakuw anakusupport na kushirikiana nawe kwa kila jambo bila kusikiliza maneno ya watu.
Swala la kuweza kupata mtoto ni majaaliwa yake Mwenyezi Mungu pia tatizo laweza kuwa la mmoja yeyote Kati yenu siyo lazima iwe jinsia Fulani,Sijui kwanini wengine wanazitoa wakati wengine wanazitafuta kwa dhati.Ila naamini endeleeni kujaribu naamini mtakuja fanikiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.