Hili ni angalizo tu, hapa nchini sio mahali salama sana kuripoti habari huru, wahuni wako serious mnoo. Kwa namna Msigwa alivyopata kiwewe cha ghafla na kupanic ghafla, inaashiria wahuni wamejipanga kikamilifu dhidi ya JF.
Kwa kuwa mahali pekee pa uhakika palipobakia kupata habari huru na...
Kuwa msemaji wa serikali sio kukurupuka kila wakati kujibu chochote, hicho kitu kimeharibu kabisa taswira ya Grison Msigwa.
Ni vyema Msigwa akaanza upya kujifunza mipaka ya kazi yake na kuwa muangalifu.
Msigwa ni msemaji wa serikali, na sio msemaji wa vyombo vya dola, sio msemaji wa mahakama...
Nimesikiliza na kutazama kwa makini mahojiano kamili kati ta Rostam Aziz na Tido Mhando ambayo yamerushwa hewani kupitia Azam Tv (UTV) kuanzia mida ya saa tatu usiku mpaka mida ya saa nne na dakika kadhaa usiku huu (tarehe 5/9/2025). Na bila kumumunya maneno, mahojiano yale yalikuwa ni maigizo...
Hakuna mtu wa kawaida kuweza kupata tenda nzito nzito za majeshi bila mkono wa mwanasiasa mkuu katika nchi.
Haya ni maswali muhimu.
1. Anjela alipataje pataje ile tenda ya ununuzi wa sare za Polisi kirahisi rahisi hivyo?
2. Anjela alipataje ujasiri wa kuvuta mpunga mrefu vile na kupotea nao...
Ipo siku huyo Bashiru naye atatema bungo. Kwa sasa atasifia tu, maana unafiki ndio utamaduni wa kudumu wa CCM. Hata Pole pole alikuwa hivyo hivyo kama Bashiru, maji yalipozidi unga akamwaga sufuria la kupikia ugali.
Hivi mleta una habari kuwa serikali inatoa ruzuku ya pesa ndefu kwa wamiliki na waigizaji wa gesi hapa Tanzania?
Kwa kifupi kabisa, mitungi wa gesi ilipaswa kugawiwa bureee, gesi uuziwe tena kwa bei ndogo sana.
Nimefuatilia hatua kwa hatua mijadala ya Pole pole na kugundua wazi kuwa, kuna mamilioni ya watanzania wanamfuatilia kwa kina Pole pole kile alichokiongea na wengi wao wanamuelewa na kumuamini. Kama kuna namna CCM ilipaswa kumdhibiti kabla lakini kwa sasa imechelewa mnoo, sijui wafanyeje?
Hapa...
Kama kuna jambo linalopaswa kupongezwa sana basi hospitali zinazozuia maiti kuchukuliwa na kwenda kuzikwa kama njia ya kushikinikiza walipwe kwanza gharama za matibabu waliyotoa kwa mgonjwa ambaye ni marehemu. Kwanini?
Sababu ni hizi hapa chini.
1. Hiyo inaashiria kuwa, Hospitali hizo...
Nunua Subwofer yenye sauti kubwa kama hiyo, halafu akifungulia ya kwake wewe fungulia kwaya kwa sauti ya juu, na muda ukiona ndio anaacha na wewe unaacha.
Upande wa pili, muda atakayozima ya kwake wewe ndio fungulia ya kwako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.