Recent content by zantana

  1. zantana

    Nimewagomea Wanafamilia tusichangie Harusi ya Kaka bali tuchangie mdogo wetu masomo na Nyumba tumalizie. Wamefura nimelikoroga

    Mwambie afunge kwanza ndoa af sherehe ya harusi watafanya tu baadae mambo yakijipa au at least mkishapunguza punguza majukumu. Wanavaa vizuri kanzu safi, Shela ya kukodi kalii, make up haksool na Vipiko piko nini bas hapo mchawi iphone tuu. Mnapiga picha kalii mnapost ushahidi bas shuuli...
  2. zantana

    Video: Marekani na IDF ilifanya operesheni iliyofeli Yemen na Wanajeshi 70 waliuawa

    kudadadaddadekiiiiiiiiiiiiii🤣🤣🤣🤣
  3. zantana

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Mmh mbona kama kapigwa.. 4M? Huyo so mwana
  4. zantana

    Mchanganyiko bora wa juisi ya matunda ni upi?

    My favorite kinywaji ni embe + limao + tangawizi Au ndimu, mint na sprite (najua hii sio juice ila ni kinywaji changu pendwa) Nb: Napenda uchachu uchachu
  5. zantana

    Tupeane updates za Ajira za Polisi 2024

    Kudadekiii😮‍💨😮‍💨 Tatizo Dodoma nanyie mko wengi sanaaaa bhn ko wakaona wajipunguzie mzigo mapemaa
  6. zantana

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Soma vizuri ujue canaan ni kina nani
  7. zantana

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Israel wana hasira na Iran kwasab Iran iliwaonesha dharau ikatuma drone mchana kweupee IDF wakajiharishia Lo Israel wanataka waoneshe mabavu ili kulinda reputation. Sasa kama Gaza kamji kadogo vile hakana hata teknolojia wala jeshi la maana wameshindwa kukafuta wanatumia nguvu nyingiiii lakini...
  8. zantana

    Kiongozi Mkuu wa Hamas, Ismail Haniyeh afariki baada ya kushambuliwa akiwa Iran

    Duh ko unamchukia tu mtu kwasab ni muislam au mwarabu😳
  9. zantana

    Netanyahu aikumbusha Dunia kuwa Israel ya leo, ndio ile ile ya Ibrahim, Isaka,Yakobo, Yeremia, Isaya, Daudi

    Ndio, na ndo mashetani hayohayo tunawauzia wachungaji wenu wanayavaa kwenye pete af wanawashika vichwa kuwachota akili ili muwe mbu mbu mbu daima milele msishtuke kuwa wanawaibia
  10. zantana

    Netanyahu aikumbusha Dunia kuwa Israel ya leo, ndio ile ile ya Ibrahim, Isaka,Yakobo, Yeremia, Isaya, Daudi

    Alafuuuuu hii sio vita ya kidini jamani. Haya ni mauaji ya kimbari (Genocide) wanaouliwa na wanaoumia ni raia wa kawaida; wanawake, wanaume, wazee na watoto wadogo. Waisrael wenyewe wanaondoka nchini kwao kwasab hakuna amani na huku Palestine watu wanalipuliwa kila kukicha. WANAOATHIRIKA NI...
  11. zantana

    Netanyahu aikumbusha Dunia kuwa Israel ya leo, ndio ile ile ya Ibrahim, Isaka,Yakobo, Yeremia, Isaya, Daudi

    😂😂😂😂😂ko wewe ukiona vile wachungaji wa mchongo wanaombea mtu wanamshika kichwa af anaanguka ndo unaamini jina la kristo linamuunguza jini🤣🤣 mtaendelea kuwatajirisha hadi akili ziwakae sawa
  12. zantana

    Mmh! Sio tapeli huyu?

    Af kuna sisi tunaamshwa na jogoo asubuhi kokorikoo
Back
Top Bottom