Recent content by ZANTAC

  1. ZANTAC

    Kuna mengi ya kutafakari katika hili tukio

    Katika pitapita zangu ktafuta kilichojiri ulimwenguni nimekutana na habari moja toka BBC imenifanya nitafakari sana nyendo zangu: Simba apatikana akimnyonyesha mwana wa Chui Tanzania : Mwana wa chui hawezi kubadili madoa doa katika ngozi yake lakini simba huyo hajali hilo. Daktari Hunter...
  2. ZANTAC

    Natafuta hizi ear phone nambie ziko wapi naomba

    Mama Samia ashawaambia zinasababisha ukiziwi lkn ndo kwanza mnazisaka.
  3. ZANTAC

    DODOMA: Tundu Lissu ajeruhiwa kwa risasi, akimbizwa Hospitali

    Njia rahisi ya kumkwepa muuaji si kumkimbia ni kulala nae nyumba moja.
  4. ZANTAC

    Shida iko wapi kwenye kujiajiri

    Kila mtu ana mipango minene., Hata humu ndani Jf kuna watu wana mipango hata ya kuwa na mashirika yao ya ndege, wengine wana ndoto za kwenda Mars. Kinachotutofautisha ni strategy za kufika huko while we have nating in our pockets.
  5. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    You take time to know her though.
  6. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    Tunashindwa kuelewa mnataka kitu gani.
  7. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    Kuna jamaa signature yake inasema " Mchana tochi, usiku magogo...... tufanyeje"?
  8. ZANTAC

    Lulu ni staa asiyejua matumizi ya deodorant

    Kutoka jasho pia kuna umuhimu wake katika mwili wako
  9. ZANTAC

    ONTARIO'S JF Exclusive Interview: Ujasiriamali na harakati za maisha kwa ujumla

    Somebody said without a " Perfect Business System " your business is still nothing, He said when there is a well formulated business system you can live in America and conduct business in Tanzania (any kind of business). SWALI 1: ONTARIO Ukipewa nafasi ya kuielezea business system just in one...
  10. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    Atarudi na povu ilo, bila shaka una nguo chafu zinahitaji usafi.
  11. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    Taratibu jamani msije toana macho.
  12. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    Kigezo kipi kimekutisha , mbona vyote vya kawaida
  13. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    Ili tusipishane huko PM bora nimeisema tu hapa wazi.
  14. ZANTAC

    Mchumba na baadae mke anahitajika

    Wewe sikutaki, utanifanya mchepuko. Umeolewa.
Back
Top Bottom