Katika pitapita zangu ktafuta kilichojiri ulimwenguni nimekutana na habari moja toka BBC imenifanya nitafakari sana nyendo zangu:
Simba apatikana akimnyonyesha mwana wa Chui Tanzania :
Mwana wa chui hawezi kubadili madoa doa katika ngozi yake lakini simba huyo hajali hilo.
Daktari Hunter...
Kila mtu ana mipango minene., Hata humu ndani Jf kuna watu wana mipango hata ya kuwa na mashirika yao ya ndege, wengine wana ndoto za kwenda Mars.
Kinachotutofautisha ni strategy za kufika huko while we have nating in our pockets.
Somebody said without a " Perfect Business System " your business is still nothing, He said when there is a well formulated business system you can live in America and conduct business in Tanzania (any kind of business).
SWALI 1: ONTARIO Ukipewa nafasi ya kuielezea business system just in one...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.