Recent content by ZAMAZAGIZA ZIMEISHA

  1. Z

    Historia ya jina la Mwigulu Nchemba

    Lameck Mkumbo Madelu ni jina halisi la mh Mwigulu Nchemba. Akiwa anasoma shule ya msingi Makunda kata ya Kyengege tarafa ya Kinampanda wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Mh Lameck Mkumbo Madelu alifeli mtihani wa taifa darasa la saba, baada ya kufeli huko akawa anatafuta njia ya kurudia...
  2. Z

    Kwanini Kila Anapohusika Mwigulu Watu Wanauawa?

    umenikumbusha mbali...hivi mwigulu nchemba original anaposikia huyu mbunge lameck mkumbo madelu anatumia jina lake anajisikiaje???
  3. Z

    Mwigulu na propanganda za ccm makanisani

    sio upuuzi nakueleza fact;makanisa ambayo mwigulu nchemba ameyanunua kwa kuwapa hela na kuwanunulia magitaa na kuyatumia kama uchochoro kisiasa 1.k.k.k.t kyengege 2.e.a.g.t kinampanda sio shutuma ni ukweli uliowazi na kila mtu anajua
  4. Z

    CHADEMA mpuuzeni Mwigulu Nchemba..!

    Huyu jamaaa anawaza ngono sana ndo maana alifumaniwa igunga..kazinzi sana haka
  5. Z

    Mwigulu na propanganda za ccm makanisani

    sosi ya nini wakati kila mwananchi anayeishi kitongoji cha magali lilopo kanisa hilo hapo kyengege anajua
  6. Z

    Mwigulu na propanganda za ccm makanisani

    tatizo huelewi mkutano ulifanyika wapi na walioenda kuvuruga mkutano walitoka wapi mkutano ulifanyika tarafa ya ndago kata ya ndago kijiji cha nguvumali kiwanja cha stend ambacho kipo karibu na kituo cha polisi,hao vijana waliokusanywa toka mgambo ulemo na mgodin walikodiwa hiece ambayo ni...
  7. Z

    Mwigulu na propanganda za ccm makanisani

    kalale na ccm yako hupendi ukweli na huu ndo ukweli
  8. Z

    Mwigulu na propanganda za ccm makanisani

    Huo ndoo ukweli....na ukweli unaumaaa....utamwona mwigulu ni mtu mzuri sema sisi tunaeishi nae tunamjui vizuri...huyu jamaa ni mtu mwenye roho mbaya sana
  9. Z

    Mwigulu na propanganda za ccm makanisani

    Toka huyu jamaa awe mbunge ameingiza propaganda za magamba Katika makanisa KUNA KANISA MOJA LA K.K.K.T HAPA KYENGEGE ambako ndo kata atokayo bwana NCHEMBA limegeuka Kanisa la CCM vikao vyote vya siri vya CCM hufanyika katika KANISA HILI,NADHANI RUSHWA AMEACHA KUWAPA WAUZA KARANGA KAMA...
  10. Z

    Fujo za Iramba: Waliofanya fujo wanatoka Dar (soma majina)

    Hao vijana wako siku nyingi sana wanafundishwa mgambo hapo ULEMO siku moja kabla ya MKUTANO wa CHADEMA MWIGULU alirudi katika Kijiji chake cha MAKUNDA kata yake KYENGEGE na kuoganize mpango mzima...AMBAO HAO VIJANA WALIGAWANYWA MAKUNDI MATATU..KUNDI LA KWANZA LILIENDA NDAGO KWA HIECE ILIYOKODIWA...
Back
Top Bottom